Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Hiyo ni shughuli ya wanaume ati, wanawake wabaki jikoni...Mbona sioni wanawake
Hiyo liquid ya kijani kwenye hilo jagi inanikumbusha wine flani hivi!
Mombasa tunayaita maji ya kizalzal kamanda!!...:A S wink:
Alcohol % ngapi?
Hiyo ni shughuli ya wanaume ati, wanawake wabaki jikoni...
mkuu noma, watu wanafunguka ni balaa, mburukenge ndo nani?Ilipigwa siasa hapo kamanda. Kama una uwezo chungulia humu utashangaa vile jamaa wanahasira... https://www.facebook.com/photo.php?v=721877704537245&set=vb.215892765135744&type=2&theater
mkuu noma, watu wanafunguka ni balaa, mburukenge ndo nani?