Kama kawa washika bunduki aka Watoto, wamewandamiza wazee wa Celtic 2 o'clock.
Goli la kwanza likifungwa kwa kiuno na Gallas.
Mbwembwe hizi sasa vijana zimezidi,angalieni wasije waloga bureee mijitu ya Man U na Chelsea,.....lol
Wherever,Whenever,Forever Gunners.