The Hague: Rais Uhuru Kenyatta akiwa mahakamani kwa kesi inayomkabili

The Hague: Rais Uhuru Kenyatta akiwa mahakamani kwa kesi inayomkabili

poposindege

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
453
Reaction score
175
Kikao maalum juu ya hatma ya kesi dhidi ya rais wa Kenya Uhuru Kenya kinaendelea katika mahakama ya ICC mjini The Hague.Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta anahudhuria kikao hicho akiwa kama raia wa kawaida baada ya kuchukua uamuzi wa hiari wa kuyakabidhi madaraka kwa makamu wake William Ruto hapo jana.

Muda huu CitizenTV ya Kenya inaonesha moja kwa moja kesi ya Rais Kenyatta. Unaweza kuangalia kupitia King'amuzi cha Azam kujua nini kinachoendelea.

Thanks
 
Anashitakiwa kwa mauwaji, ubakaji na matumizi ya nguvu
 
Vipi yule mama alisema atatembea uchi mitaani Nairobi kama UK ataenda Hague kafanywa hivyo,ni mama Esther Mirugi kama siajakosea na Cecile Mbalire naye alisema atamzuia UK kwenda huko sasa mbona hatuja ona wakifanya hivyo.Kweli wapambe nuksi.
 
Kikao maalum juu ya hatma ya kesi dhidi ya rais wa Kenya Uhuru Kenya kinaendelea katika mahakama ya ICC mjini The Hague.Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta anahudhuria kikao hicho akiwa kama raia wa kawaida baada ya kuchukua uamuzi wa hiari wa kuyakabidhi madaraka kwa makamu wake William Ruto hapo jana.

Muda huu CitizenTV ya Kenya inaonesha moja kwa moja kesi ya Rais Kenyatta. Unaweza kuangalia kupitia King'amuzi cha Azam kujua nini kinachoendelea.

Thanks

La tatizo si Azam Tv bali ni Tanesco mkuu,umeme umeenda kwao ,huku hatuna umeme.Ngoja tusubiri You tube umeme ukirudi.Tanesco wameshindwa kujiendesha kwani wanawaendesha matapeli wa kimataifa.
 
Dah, ingawa sikupendezwa na uingiaji madarakani wa huyu bwana, ila huu ni uzalilishaji wa viongozi wa Kiafrika.Bush na blair hadi leo hawaulizwi na mtu WMD ziko wapi.

hawa mabwana wanachinja watu kila mara hakuna anayewashtaki wakiwa madarakani au nje ya madaraka. This ofocurse does not mean i am against the whole procedure to hold participants of the 2007 attrocities accountable, but if we decide to have an international community that is fair, then everyone should be equal, au ndio yale mambo ya mzungu mmoja ni sawasawa na 0.65Mzungu?
 
poposindege sema kidogo mwisho ilikuwaje, sikuangalia kabisa hii kitu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom