Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Walisema maoni ya wanaJF haya-reflect hali halisi ya wananchi wakasema tena hata polls zao haziwatishi, refer hotuba ya JK kwenye ufunguzi wa kampeni ya CCM kabla ya kuanguka alisema hababaishwi na mitandao kwa sababu wanaoshiriki ni sehemu ndogo tu ya watanzania mil.40, wakasema vijijini hawana komputa na hata wakiwa nazo hakuna umeme huko. Hatimaye umeme wa mitandao umeanza kufika vijijini maoni ya wanamitandao na polls zao zimeanza kupenya kwa wahusika leo hawapendi tena kuziona wala kuzisikia. The Heat is hitting.