The hypocrisy of Kenyans..

Hehehehe!! Hiyo ni konk, ya Kisii hiyo. Nakumbuka wakati nilikua napiga hayo mavitu nilijaribu ya Kisii nikajikuta naimba kwa kilugha.
He he he. Hiyo kitu ni konc kweli, unaona hiyo sura ya Orengo?

Mimi daktari aliniambia niachane na hizo vitu if I love my life. My liver cannot cope.
 
He he he. Hiyo kitu ni konc kweli, unaona hiyo sura ya Orengo?

Mimi daktari aliniambia niachane na hizo vitu if I love my life. My liver cannot cope.
Vipi brathe? its been long man but I can see you guys are really representing 254 confidently well with facts. 🙂
 
Vipi brathe? its been long man but I can see you guys are really representing 254 confidently well with facts. 🙂
Niaje? Btw ckuizi huonekani humu kabisaaa.

Sisi tuko hapa kuset the records street dhidi ya propaganda za hawa wabogo, lakn tuko poa. Labda wewe.
 
Niaje? Btw ckuizi huonekani humu kabisaaa.

Sisi tuko hapa kuset the records street dhidi ya propaganda za hawa wabogo, lakn tuko poa. Labda wewe.
niki poa pia nilihepa kiasi nikijua mtakabiliana na wabongo wasioifahamu Kenya vizuri. Looking forward to participate positively. thank you
 
niki poa pia nilihepa kiasi nikijua mtakabiliana na wabongo wasioifahamu Kenya vizuri. Looking forward to participate positively. thank you
Karibu tena ndugu. You already know this, but I will still warn ya, postive engagements with these pipo in not easy. U will end up like this soo many times

 
Just cool down and tell us one developed nation with such kind of primary and secondary schools that allow underaged mothers to study.

For your information. Magufuli is not setting up either a new policy or a new law regarding this issue. These legistlations have been arround for long even our vice president took her studies under the same legal structure. Why did she and others succeeded?

Tumechoka na wanaarakati wanaotutoa kwenye msitari na kutuondolea mila na desturi zetu ili tusijitambue na tusiendelee. Baada ya hili wataanza tena kutetea haki za MASHOGA. HATUTAKIIIIII.....
 
Kwa hiyo unaunga mkono harakati za kuwaadhibu watoto walio teleza maishani?
Tuambie yafuatayo :
1. Kama umeshawahi teleza maishani?
2. Vipi swala hili la watoto wanapachikwa mimba wakiwa shuleni ni swala la ushoga.
3. Ukiteleza maishani, je, ni dhahiri kuwa utanyimwa haki za kibinaadam, ambapo elimu ni mojawapo?
4. Hivi wewe mtu mzima unaona hawa wawili walio tenda tendo la ndoa wote wa jinsia moja, sijjui maoni yako kuhusu kijana anaye mpachika mwenzake wa kike mimba? Umeona vizuri kumlaumu mtoto wa kike, sio?
5. Stori ya vp wenu na hii mada, wapi na wapi?

Nawasilisha.
 
Someone hu can explain to me what are you guys arguing?

Suppose if your sister conceive while at sec school there at Kenya what are your approaches anyway? How do you handle the case like that...
 
Someone hu can explain to me what are you guys arguing?

Suppose if your sister conceive while at sec school there at Kenya what are your approaches anyway? How do you handle the case like that...
a)She has the option of deferring her studies for a year

b) She can study whilst breastfeeding the baby. No, not bringing tge baby to school, she can leave the baby at home under the care of sumbody else, (her mother ofcoss), taking breaks to go home to breastfeed or leaving her milk in a bottle.

But they are not denied education for that mistep.
 
Nationalism is an infantile disease. It is the measles of mankind.
- Albert Einstein.
 

Hii si mambo na wanaharakati bwana.
This is about the life of these young human beings, their future: the girl, the boy and the baby.

Mkiwanyima hiyo elimu ya bure, ati waende kwa private schools ambazo ni chache sehemu zingine na ghali kwa hizo familia maskini, maisha yao ya usoni sasa itakuwaje? Huyu mtoto atalelewa kivipi, hasa ikiwa babake ako jela miaka 30? Haifai.

Mimi binafsi katika familia yetu kuna msichana ( actually ni mama mzima sasa) alipata mimba 1994 akiwa class 7. Lakini alipata nafasi ya pili katika masomo baada ya kujifungua, akamaliza masomo na kuhitimu. Amekuwa akipata kazi nzuri nzuri hivi sasa anatumikia shirika fulani lisilo la kiserikali.
Binti yake kwa sasa yuko chuo kikuu.

Je, angepewa adhabu hiyo, hivi sasa angekuwa wapi, yeye na huyo mtoto wake? Hebu tufikirieni jameni.

Hili ni suala la kibinadamu. Hamwezi mkasema ati waende kwenye private school ambayo hawawezi hata kugharamia na huyo kijana aende jela....hapo sasa ndiyo itakuwa ni kusuluhisha hili tatizo?

Kenya kwa sasa imeanza kutoa mafunzo ya mambo ya uzazi kwa wanafunzi toka darasa ya 4, na wazazi wanahimizwa kuwa very open with their children, kuwafunza haya mambo mapema.
 

Naomba unambie umuhimu wa adhabu kwa mtu aliyefanya kosa then nikusaidie tena kujibu maswali yako haya!
 
Naomba unambie umuhimu wa adhabu kwa mtu aliyefanya kosa then nikusaidie tena kujibu maswali yako haya!
Kujibu swali na swali, hehehe! Nimekuuliza msimamo wako, ukiona gumu basi naomba usirejeshe, tafta hobby. Kwa hiyo you believe in punishment as opposed to correction for mistakes and errors?
 
In short, that's just life, leo mimi kesho weye. Our southern neighbours need to be practical in their solutions and thinking. A girl getting paged at an early age is always a bad thing, but determining her life trajectory based on that and that alone is just plain wrong, and inexcusable! Those who endure these things as young women are actually quite wise in life as well.
 


I hope that hawa wanaosupport hii sheria wako na grown children, or that their 16yo sons wouldnt impregnate a girl go serving 30yrs in prison, their daughters wont get pregnant b4 20.

I think these pipo think that these are the sort of things that happen to other pipo, it wouldnt happen to them.

But this is not how to deal with the problem.


Tanzania's teen mums: Nchemba warns critical NGOs
 
Kujibu swali na swali, hehehe! Nimekuuliza msimamo wako, ukiona gumu basi naomba usirejeshe, tafta hobby. Kwa hiyo you believe in punishment as opposed to correction for mistakes and errors?

Kujibu swali kwa swali ni aina moja ya kujibu, ziko aina tatu za kujibu, swali kwa mkato, swali kwa maelezo na swali kwa swali! Me nimechagua swali kwa swali!

Maoni yangu nilishayatoa kwenye uzi maalum unaoongelea suala hili! Unaweza kurejea huo uzi huo Magufuli: No more education for girls who fall pregnant while at school.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…