The ICT manager of IEBC has gone missing.

The ICT manager of IEBC has gone missing.

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Kenya kuna nini?? Drama hazihishi.
Screenshot_2017-07-30-14-23-44.png
 
ndo huyo washamuua na yawezekana alikataa kuchakachua matokeo
 
Jamaa kapatikana akiwa amekufa! Habari zinasema kutokana na majeraha aliyokutwa nayo inasemekana ameuliwa kwa kuteswa. Katika eneo alilookotwa umekutikana na mwili wa mwanamke asiyefahamika! Maofisa wengine waliobaki hai wameogopa sana na kwasasa wanaishi kwa wasiwasi mkubwa...!

Kenya hali si shwar!

Chanzo cha habari ni Radio One habari ya saa nne kamili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom