Kweli maendeleo yanakuja na vitu vyake kwakweli ukiangalia Wakenya kimaendeleo wapo juu kidogo ukifananisha na nchi zingine za East Africa, na huko ndo tunasikia mashoga wameandamana wanataka haki ya kutambuliwa kama wenzao wa Ulaya. Kama vipi mimi maendeleo siyataki