Mkuu naitaji kitabu cha in the footsteps of mr kurtz kama unaweza kipata nakiomba pmSitatoa summary ya nini kitabu kinahusu. Kila mtu akisome kitabu then come up with your ideas and views!.
Ujasusi sio kwenye siasa za dunia tu, ujasusi upo mpaka kwenye michezo. Tanzania tumejiandaa kuukabiri!?..
Malcom Lumumba chige Red Giant zitto junior Da'Vinci hearly Prof izzo Donatila Castr
πππππTena wewe ndio colleague mzuri kudiscuss hizi mamboππ..
Hii elimu sikuwa nayo aseh!.. thanks mkuu.Asante mkuu ntajitahidi kukisoma. Ngoja nitie neno. Inasemekana Chess ilianzia huko india, Ulikuwa ni mchezo wa Strategies za kivita. Ndiyo maana ukiliwa king game over. Maana zamani mfalme akifa vita mmeshindwa.
Habari, napakua Kitabu hicho bila mafanikio...Sitatoa summary ya nini kitabu kinahusu. Kila mtu akisome kitabu then come up with your own ideas and views!.
Ujasusi sio kwenye siasa za dunia tu, ujasusi upo mpaka kwenye michezo. Tanzania tumejiandaa kuukabiri!?..
Malcom Lumumba chige Red Giant zitto junior Da'Vinci hearly Prof izzo Donatila Castr