The King of Clay is back!



The battle for the GOAT is on …. … ….
Rafael Nada just completed a come back, defeating the Russian Medvedev a moment ago in London Sports arena in the battle for end of year No.1 Position with the Joker.
 
Je, Rafa ataweza kulinyakua hili kombe kwa mara ya kwanza?
 
Napenda iwe hivyo ila ni ngumu sana kwa Nadal kuibuka mshindi. Moja ya sababu inayo inayo nifanya nione ugumu kwa Nadal ni majeraha. Ikumbukwe kuwa Nadal alijitoa kwenye mashindano ya ATP French masters kabla ya haya ATP NITO final, mazungumzo yake ya mwisho kabla ya kuanza mashindano haya alidai atafanya kila awezalo ili kuhakikisha anakuwepo kwenye Final hizi. Hivyo hapo unaona kabisa Nadal alikuwa anapambana na majeraha.

Mda mfupi ulio pita ameshinda mchezo wake wa mwisho kwa kumfunga Tsipitas, sasa ata subiri Medvedev ashinde zidi ya Zverev hapo Nadal atakuwa ametinga kwenye final four. Kama hato pata majeraha yoyote yale basi Nadal Nampa nafas kubwa ya kuchukua ubingwa huo kwa mara ya kwanza. Hofu yangu ni majeraha, lakini Nadal amekuwa na kiwango kizuri mno kwenye hiz game mbili. Toka alipo zinguana na waandishi wa habari baada ya kupigwa mchezo wake wa kwanza jamaa amerudi vizuri.

Nimetizama game zote 3 za Nadal, yuko vizuri sana hasa ile game aliyo cheza na Medvedev. Come back ya nguvu kabisa kutoka 1-5 mpaka kuibuka mshindi. Mkuu hiv hapa Tanzania kama unakipaji cha kucheza tennis unaanzia wapi ili kutimiza ndoto zangu. Maana viongozi wa Tennis Tanzania wako kimya kama nn. Napenda sana mchezo wa Tennis.
Je, Rafa ataweza kulinyakua hili kombe kwa mara ya kwanza?
 
Reactions: Ole
Inategemea na mtanange wa jioni hii, amekabidhiwa No. 1 title a moment ago anasubiri matokeo ya mtanange wa leo jioni kama ata-qualify kwa kuwa its not on his hands nao baada ya kunshinda tsitsipasi more to come …. …. … ding dong.
 




Rafael Nadal seals emotional victory with Roberto Bautista-Agut as Spain
triumph over Canada in Davis Cup final




The First World Cup of Tennis.
 
Nadal beats Messi to be crowned the decade's top sportsperson





Kama kawa The King Of Clay
The battle is over.
The world's greatest athletes have gone head to head and Rafael Nadal has come out on top as the pick of the bunch from the last decade.

Nadal faced Lionel Messi in a colossal final, but it was the Spaniard who came out as a clear winner.

MARCA readers voted in huge numbers - with almost 160,000 votes being counted - and Nadal took 62 percent of the vote to Messi's 38 percent. The tennis star had beaten Eliud Kipchoge, then Cristiano Ronaldo in the quarter-finals before long-standing rival Roger Federer in the semi-finals to face Messi in the final of the competition to work out the top sportsperson of the decade. Messi had to beat off competition from Michael Phelps in the semi-finals after seeing off Marc Marquez in the quarter-finals and Novak Djokovic in the previous round.

Nadal has enjoyed a remarkable 2019, winning at Roland Garros, the US Open and the Davis Cup, as well as claiming the world No.1 spot.

Hongera sana Rafael Nadal wewe ni mfano mzuri kwa vijana kujituma ...…… … Big up Rafa Karibu sana Tanzania kwa vacation.

The last 10 years have been impressive for him too, winning practically everything on offer this decade.

He lifted eight Roland Garros titles, four US Opens, Wimbledon, an Olympic gold medal, two Davis Cups and a host of other tournaments too.
 
Kama ada Rafa yupo ngangali kuwania AO, Kesho atapambana na mchezaji mkorofi wa Australia Kirios

come on Rafa …. …… …… Ding …… Dong!
 
Rafa marches on and he will meet Dominic Thiem tomorrow, a player he has played with on different surfaces. All my money is on Rafa ''the Spanish complete player.''
 

The Joka has been disqualified .... ... .
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Huu mchezo wa mabeberu
Sisi wapi na wapi
Zungumzia ndondi au soka

Ova
 



The King of clay just concluded a win a moment ago against Carreno Busta (conqueror of Joka in the US open) .... ..... Rome clay court season 6-1; 6-1.
 

Rafa wins a record 13th Grand Slam

The King of Clay celebrates .... .... Ding ... Dong.​

 

The King equal Roger Federer's Grand Slam record .... ..... (at 20 Slams each)​


MIKE DICKSON: You can move the tournament to October from late Spring, but there is no changing the inevitability of the result. He won his 13th Paris championship in his 100th match there, dismissing the world number one 6-0 7-2 7-5 in two hours and 41 minutes of often breathtaking shotmaking. Djokovic's attempts to play chess with his dropshots backfired and his surfeit of unforced errors when faced with a trademark onslaught sealed his undoing. It was nothing like the equal battle expected.
 

''Rafael Nadal has drawn level with Roger Federer on 20 career Grand Slams after ruthlessly dismissing Novak Djokovic 6-0 6-2 7-5 to win the French Open.

The Spanish star is now the joint-record holder for men's Grand Slams alongside the Swiss superstar, with female legends Margaret Court (24), Serena Williams (23) and Steffi Graf (22) the only players to have won more.

Nadal captured his 13th French Open title with a straight sets win over Djokovic, who was blown away in Paris as he lost the first set to love.

The Serbian was hoping to become the first man in the Open era to win all four Grand Slams at least twice, but he never stood a chance against a determined Nadal.''


Djokovic struggled to live with Nadal's power

Showing just why clay has also been considered to be his best surface, Nadal rattled off the next five games as he rolled back the years on the way to clinching the second set 6-2.

Djokovic showed resilience to come back into the third set, and when Nadal broke him in the fifth game then the writing seemed to be on the wall, only for Djokovic to break back for 3-3.

Nadal eventually ground him down though, breaking in the 11th game of the third set before going on to serve for the match.


Rafael Nadal has equalled Roger Federer's record of 20 Grand Slam wins with a dominating victory over Novak Djokovic



The Spanish star powered his way to his 13th French Open title in emphatic fashion, sweeping aside the Serb in straight sets



















The King of Clay .... ... he has not finished his mission as yet.
 
Huu mchezo wa mabeberu
Sisi wapi na wapi
Zungumzia ndondi au soka

Ova
Mkuu fahamu maana ya mabeberu kwanza. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 


20-20 vision
Safi sana na mwakani Rafa anamwacha Roger solemba .... ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…