The lady who returned NYS money

Naomba yatendeke makuu hadi hela za serikali ziwe zinaogopwa, kwamba zikikufikia unazirudisha hima na kuosha mikono, nothing short of that.
Sasa hivi naskia watu 64 watakamatwa.....
 
Naomba mnieleweshe kwa mara ya mwisho kama mkiweza hoyo nys ni nini, na hiyo corruption imetokea ktk mazingira gani na lini kwa kifupi ili niweze kuelewa kinachoendelea!

(I struggle to articulate in Swahili so if someone can translate would be helpful)

The National Youth Service (NYS) is an organisation in Kenya. It was established after Kenya gained independence to train young people on national issues/matters. There was a time where students had to participate in the organisation before admission into universities. Today, recruitment is voluntary I think.Part of the program include but is not limited to basic paramilitary skills .I think you could join the Kenyan Army training or other technical training afterwards.

From my understanding certain individuals in and out of office have abused funds intended for the running of the organisation and diverted funds to personal accounts..It seems the automated system (IFMIS) may have been corrupted to allow certain people do some dodgy transactions(fake tenders,LPOs,payments etc)..In some cases money paid into an account where the account holder supplied air....I am not sure if the automated system can be accessed remotely..Our Kenyan brothers are able to clarify that...Sad situation but common in African countries.

So katika njia hii mamilioni ya hela zimefujwa..
 
Naomba yatendeke makuu hadi hela za serikali ziwe zinaogopwa, kwamba zikikufikia unazirudisha hima na kuosha mikono, nothing short of that.
Sasa hivi naskia watu 64 watakamatwa.....

Nakubaliana nawe kabisa. Wacha wawekwe "gono" ndio wengine washike masikio. Lazima sasa watu waanze kuogopa hela za serikali.
 
Naomba mnieleweshe kwa mara ya mwisho kama mkiweza hoyo nys ni nini, na hiyo corruption imetokea ktk mazingira gani na lini kwa kifupi ili niweze kuelewa kinachoendelea!

NYS ni kama ilivyo JKT, kwamba vijana wanafundishwa uzalendo na ukakamavu na jinsi ya kupambana na matukio, ila pia wanafundishwa hata mambo ya uhandishi na mengine.

Sasa humo kumetokea ufisadi kwenye manunuzi.

Ona video hapa ya vijana wanavyoandaliwa, yaani ukakamavu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…