The largest economy in east africa ? Kenya and Ethiopia in epic economic rivaly

Jamaa wa kukanusha na kupinga leo wameibuka na mambo ya ajabu ajabu. Wanakana hadi GDP yao, kisa eti wanaonewa! [emoji38][emoji38][emoji38] Mmenivunja mbavu, wabongo katika ubora wao. 🙂
 
Acha Uongo Ethiopian, Eliitrean and Somali are the same hawana heshima Yoyote ni wabaguzi sana,wanajifanya wao ni wayahudi
 
Tangu lini Nyani akaona kundule [emoji23][emoji23][emoji23]

Mnakuwa wachokozi mkijibiwa mnaanza kusema tuna wachukia [emoji23][emoji23][emoji23]
kama sisi ni wachokozi unafanya nini kwa huu uzi ukiishabikia Tz?
 
Acha Uongo Ethiopian, Eliitrean and Somali are the same hawana heshima Yoyote ni wabaguzi sana,wanajifanya wao ni wayahudi
Uliishi nao wapi??😂😂😂 Manzese? Wamejaa Miji karibia you ya Kenya kwa hivyo tunapatana nao mashuleni, kanisani, misikitini, dukani, harusini na mambo mengine mengi so sijui mbona unakurupuka....Alafu mada hapa Ni Kati ya Kenya na Ethiopia kwa hivyo midanganyika mketi kuleeee kazi yenu Ni ushabiki tu ila mchezo mtuachie sisi.
 
Maisha ni magumu sana Kenya ndio maana wakenya wengi wanakimbia na tena wakifanikiwa kuondoka huwa hawarudi tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ripoti inaonesha wakenya wangefanikiwa kupata Pesa wangeshakimbia kenya kitambo
Ona hii video hapa mkilalamika.
Tanzanians are too poor to move between their towns sembuse Nchi zingine na wale wanaweza Ni omba omba.
 
 
 
Kweli kabisa ndugu yangu, Kenya Hakuna ujenzi wowote unaoendelea.
wewe umefika Kenya kweli? Tz naona govt inajenga kila kitu, tallest buidings no za serekali, Kenya inajengwa n private sector. Enda pale sky scraper city and compare which country has more big projects going on. Wapi Tanga port? Lamu inajengwa...

Ehiopians ni watu wa heshima sana. Humble and hardworking. Lakini hii competition imepitwa ma wakayi, GDP ya Kenya iko mbele zaidi 99b vs 90b
 
Kuna wakati Tz iikuwa namba 1 Kisha ikawa 2 Sasa ipo 3...we on the laitlack.
 
Mababu zako wakiskia jinsi ulivyo na uvivu wa fikira watakukana
 
Kenya is more of a free market and will eventually smash Ethiopia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…