Kupitia account yako mkuu utaratibu ni ule ule kama undergraduateJe unawezaje kupata matokea kama umechaguliwa unapigiwa simu au Kuna sehemu maarum ya kupata matokea
Unatoka mkoani?Ndugu zangu mliopita au mliopo kwenye uwanja wa mapambano(Law school) tujuzeni hali halisi ya pale..naanza kwa kuuliza maswali yafuatayo;
1.Ni kozi ngapi zinafundishwa
2.Utaratibu wa malipo ya ada na fedha ya kujikimu ukoje
3.Mafunzo haya ni ya muda gani darasani na field ni muda gani
Naombeni kueleweshwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio maana watu hughairi kwenda mweeeeh!Ada milioni 3 tu, kila mtu aliyesoma sheria anaweza,[wanafunzi wengi mnamiliki iphone macho 3 ya milion 3.2 hamshindwi ].Inalipwa kwa mkupuo.
Mafunzo mwaka mmoja, mtaingia kama. 400 hivi, kati yenu 25 watafaulu, mliobaki kama 150 mtapata supplimentary za masomo zaidi ya 5 na wengine 150 wata DISCO[discontinued].
Karibu LST -where complain never end.
Wale walio soma Chuo miaka Mitatu wana possibility ya kutoboa kweli?
Si niheri tu waende LLM
Iosmssmsssssssskssos.sss.ssl.sss[emoji177][emoji177][emoji177]Wale walio soma Chuo miaka Mitatu wana possibility ya kutoboa kweli?
Si niheri tu waende LLM
Tumia busara umeiliza swali mtu amatumia mda wake kukujibu then unaleta dharau uwe unatumia akiliHii nchi imelaaniwa kabisa hajulikani msomi nani na ngumbaru nani, yani mwanasheria mzima hata kuandika hujui? Kanuni ndogo za uandishi kama kuanza sentensi kwa herufi kubwa pia hujui?
Cha ajabu hata website yenyewe haujaweka link. Haya majanga mwanawane wasomi woyeeee!!