The Law School of Tanzania - Maswali na majibu

Je unawezaje kupata matokea kama umechaguliwa unapigiwa simu au Kuna sehemu maarum ya kupata matokea
 
Unatoka mkoani?
Pale kuna watu wazima[in service ] na wale fresh from collage!

Kuna wenye mishahara na waliofikia gheto kwa washkaji Mwananyamala!
Kuna wanawake wameacha waume zao mikoani na ndio wakati wao wa kuonja "za vijana-serengeti boys"
kuna waliotoka Lw firms na kuna waliotoka chuo -Mikoani!
Kuna wenye VVU na wasio, ni mwendo wa kubadilishana kwenye lodge za Sinza!
Kuna wanaopewa alama na kuna wanaozitafuta kwa nguvu za Mungu!
Kuna watakaopata kazi wakiwa Law School na kuna wataoharibu CV zao na kusubiria ajira za serikal1
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio maana watu hughairi kwenda mweeeeh!
 
Wale walio soma Chuo miaka Mitatu wana possibility ya kutoboa kweli?

Si niheri tu waende LLM
Iosmssmsssssssskssos.sss.ssl.sss[emoji177][emoji177][emoji177]
.sss.how[emoji182][emoji177][emoji177]'s a s[emoji854][emoji854][emoji854][emoji177][emoji177][emoji177]
 
Tumia busara umeiliza swali mtu amatumia mda wake kukujibu then unaleta dharau uwe unatumia akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…