victorserv
Senior Member
- Oct 4, 2013
- 195
- 56
minaona ni bola ingekuwa practical zaid kuliko kukaa darasanMatarajio ya wa Tz ni kuwa na wanasheria wengi kujaza nafasi zilizopo wazi, serikali kupitia LSRP walikujana wazo zuri la kuanzisha lst, lakini kwa hayo yote mtazamo wangu hasa baada ya kuona kuna baadhi ya wanafunzi wanaotoka vyuo flani hapa Tz wana mtandao mkali sana wa "kupiga chabo"na mara waingiapo katika ajira aibu inakuwa kwa lst, wana jamvi, hili mnalionaje kama wasomi?nani amfunge paka kengele?
minaona ni bola ingekuwa practical zaid kuliko kukaa darasan
Nameless .
sijasoma hayo mambo yao ila mimi nina ndugu yangu anataraji kujiunga hapo mwakani
Matarajio ya wa Tanzania ni kuwa na wanasheria wengi kujaza nafasi zilizopo wazi, serikali kupitia LSRP walikujana wazo zuri la kuanzisha lst.
Lakini kwa hayo yote mtazamo wangu hasa baada ya kuona kuna baadhi ya wanafunzi wanaotoka vyuo flani hapa Tanzania wana mtandao mkali sana wa "kupiga chabo"na mara waingiapo katika ajira aibu inakuwa kwa lst.
Wana jamvi, hili mnalionaje kama wasomi?
Nani amfunge paka kengele?
minaona ni bola ingekuwa practical zaid kuliko kukaa darasan
MZUMBE na SAUT uozo wa namna hiyo siyo rahisi kuukuta kwa Wanafunzi wanaosoma Sheria, kwa TUMAINI siwezi kuwasemea.vyuo gani tumain au saut na mzumbe funguka bas