The LIFE and times of RAILA AMOLLO ODINGA in PHOTOS….. AMAZING

The LIFE and times of RAILA AMOLLO ODINGA in PHOTOS….. AMAZING

::
Weakness ya Odinga ni Uchu wa madaraka hawa ndio Nyerere alitaka waogopwe kama ukoma.
=
 
Safi sana mkuu, kumbukumbu muhimu za legacy ya RAO.
 
raila5.jpg



That is not Raila.

That is Rev Timothy Njoya being clobbered by Jeshi la Mzee led by ODM's Fred Gumo who was in KANU then.
At the time Raila was co-operating with KANU & Moi
 
safi sana huyu jamaa sasa apumzike sio lazima awe Rais wa Kenya la sivyo atasababisha rabsha kama za 2007
 
safi sana huyu jamaa sasa apumzike sio lazima awe Rais wa Kenya la sivyo atasababisha rabsha kama za 2007

Mkuu Ukwaju:
Heshima kwako hapa hakuna Rabsha kwa njia ya mahkama hii ni kwa mujibu ya katiba ya nchi, Raila komaa Tu mpaka kieleweke.
 
Mkuu Ukwaju:
Heshima kwako hapa hakuna Rabsha kwa njia ya mahkama hii ni kwa mujibu ya katiba ya nchi, Raila komaa Tu mpaka kieleweke.
580568_354771287966525_793790368_n.jpg


Mimi sijui tatizo la huyu Mjaluo, tukiwaambia ni katika wale Wanafiki wanaotaka kwa ulazima URAIS mnatuchukia
Naomba muheshimu zile kura 800,000 ambazo ni tofautyi kati ya UHURU na RAILA kwani hata kura moja kaanguka
Msithubutu kurudia Wakenya wana msimamo na wanajua ni nani anayeleta fujo zaidi na cha kushangaza hata Obama keshaanza kuingilia mambo ya Ushindi wa UHURU
 
580568_354771287966525_793790368_n.jpg


Mimi sijui tatizo la huyu Mjaluo, tukiwaambia ni katika wale Wanafiki wanaotaka kwa ulazima URAIS mnatuchukia
Naomba muheshimu zile kura 800,000 ambazo ni tofautyi kati ya UHURU na RAILA kwani hata kura moja kaanguka
Msithubutu kurudia Wakenya wana msimamo na wanajua ni nani anayeleta fujo zaidi na cha kushangaza hata Obama keshaanza kuingilia mambo ya Ushindi wa UHURU

He mkuu Ukwaju, mara yamekuwa hayo au kumbe mwenzetu huwaga ni kuku enh"
 
Someni katika biblia kitabu cha Mwanzo kuhusu Esau na ndugu Yakobo, mtapata picha kamili kwa nini Raila na Babake mzee Jaramogi hawajafanikiwa kukalia kitu cha ikulu ya hapo Kenya. Ila nashukuru kwa picha hizi za kumbukumbu
 
wa kenya wana jiuliza , kama Odinga akiondoka katika siasa, hasa kushindwa wa mwaka, ni nani atakuja kuwatoa watu wa central kilengeni? maana siasa za kenya ni pesa, na kuwa na strong will.
 
Baada ya yeye mwenyewe kukaa madarakani kwa miaka 25

Ben Saanane
Uko sahihi ktk hilo..ila Tufike mahali tukubali kubadilika kulingana na Matakwa ya Nyakati,,Nyakati zilizopo za kidemokrasia hazitaki ulazimishe ukubalike upendavyo ni tofauti na enzi za waasisi wa Mataifa mengi ya Afrika ambapo Rais angeamua lini aache madaraka.
::
Mf.Raila Odinga alitaka 2002,,akakosa
2007 akakosa,,2013 amekosa?
Je,kuna nini hapo? Ni kweli ana ushawishi mkubwa ktk jamii Lakini usipochaguliwa wewe,,basi Tume haikutenda haki?
::
Kwenye mdahalo alisema asiyekubali kushindwa si mshindani Leo anatenda tofauti na usemi wake,,yeye kama mwanademokrasia mzuri,,tumwiteje kama si KING'ANG'ANIZI?
Kibaki ni Kiongozi aliyefanya kazi na Raila,,sasa naanza kuamini Kibaki alikuwa sahihi kujiapisha haraka 2007 anamjua vema Raila,,ana ajenda gani inayomlazimisha asipotangazwa yeye Tume si huru?
Kenya isiangamizwe na tamaa ya mtu mmoja
=
 
Last edited by a moderator:
Ben Saanane

Mf.Raila Odinga alitaka 2002,,akakosa
2007 akakosa,,2013 amekosa?

=

Bwana Mkubwa, hapo unapotosha ! Usimpakazie Raila kagombea mara 2 tu - 2007 & 2013. Mwaka 2002 Raila alimuunga mkono Kibaki kwenye Rainbow Alliance, wakamshinda Uhuru Kenyatta (KANU) kwa kura nyingi tu!

Uhuru Kenyatta ndiyo safari hii kagombea mara ya 4 na kupata.

Halafu kuna ubaya gani ktk demokrasia ya kweli kugombea ukijisijia kufanya hivyo? Abdoulaye Wade wa Senegal aligombea mara 8 kuanzia 1974 na hadi alipochaguliwa mwaka 2000 na akawa rais kipenzi wa Senegalese.
 
Bwana Mkubwa, hapo unapotosha ! Usimpakazie Raila kagombea mara 2 tu - 2007 & 2013. Mwaka 2002 Raila alimuunga mkono Kibaki kwenye Rainbow Alliance, wakamshinda Uhuru Kenyatta (KANU) kwa kura nyingi tu!

Uhuru Kenyatta ndiyo safari hii kagombea mara ya 4 na kupata.

Halafu kuna ubaya gani ktk demokrasia ya kweli kugombea ukijisijia kufanya hivyo? Abdoulaye Wade wa Senegal aligombea mara 8 kuanzia 1974 na hadi alipochaguliwa mwaka 2000 na akawa rais kipenzi wa Senegalese.

::
Lesson noted..
Let me adjust my understanding.
Thanks Cynic
=
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom