The Looming Showdown in Dodoma


Mada hii si ya HOVYO LABDA WEWE NDIYO HOVYO!

NA WEWE NDIO UMEKURUPUKA!

Kama umekiri HUKUFUATILIA MJADALA WA UNGA UNGA TOKA MWANZO THEN KAA KIMYA NA USOME MJADALA UNAVYOKWENDA NA SI KUJA NI VIJIMANENO VYA KUJIDAI WEWE UNA BUSARA!

Watu wanauliza maswali kutokana na KAULI ZILIZOWAHI KUTOLEWA NA PANDE ZOTE..IWE YA KUMTETEA CHENGE AMA SPIKA.
Kweli UNATISHA!
 

Most likely ulikuja kutibiwa maradhi ya kichwa ukaingia mitini. Ulipate US Visa? Ulifanya interview kweli?!
 

Jmushi,

Wapi nimesema hii mada ni ya ovyo.
 

Ndiyo ujengaji hoja huo.
 
Huu mtiririko hapo juu nani anajengewa HOJA?
 
Mimi nimekaa pembeni...Tunasubiri SHOWDOWN...Sasa Kuna hoja inajengwa hapa...Hivi kweli Jmushi ni mtu mmoja anayewasumbuwa vichwa kiasi hata mnabakia kumjemgea hoja?
Wengine wanajiita peasants...Am i a FARMER?
 
Mimi nimekaa pembeni...Tunasubiri SHOWDOWN...Sasa Kuna hoja inajengwa hapa...Hivi kweli Jmushi ni mtu mmoja anayewasumbuwa vichwa kiasi hata mnabakia kumjemgea hoja?
Wengine wanajiita peasants...Am i a FARMER?


your avatar reflect it all! hahahahaha!
 
Jmushi,

Wapi nimesema hii mada ni ya ovyo.

Kuna watu ama hawasomi na kuelewa kinachoendelea au kwa makusudi mazima wanaleta upotoshwaji wa mada. Mimi sikushiriki kabisa kwenye mjadala wa sakata la unga bungeni kwa sababu mantiki yake haikuweza kuniingia akilini,

Umesema kuna watu wanaleta upotoshwaji wa mada...Sasa kama mada imepotoshwa haiwi ya HOVYO?
Na pia umekiri kuwa hukufuatilia mada a unga unga toka mwanzo...Je ni nini hasa kilichokufanya wewe kujuwa kipi ni upotoshaji na kipi ni sawa?
 
Mimi nimekaa pembeni...Tunasubiri SHOWDOWN...Sasa Kuna hoja inajengwa hapa...Hivi kweli Jmushi ni mtu mmoja anayewasumbuwa vichwa kiasi hata mnabakia kumjemgea hoja?
Wengine wanajiita peasants...Am i a FARMER?


You must have forgotten to take your pills bro! Would you mind to go and take some right now?
 
your avatar reflect it all! hahahahaha!

NO PROBLEM..ITS THE AUDACITY OF HOPE WHENEVER YOU REALISE THE PURPOSE DRIVEN LIFE IS POSSIBLE.
FYI...HUYO NI MR OBAMA AKIWA NA BIBI YAKE HUKO KENYA...MR OBAMA AMBAYE NI FARMER KAMA UNAVYOSEMA...ANAWEZA AKAWA RAIS WA DUNIA..!
What about you PEASANT?
 
You must have forgotten to take your pills bro! Would you mind to go and take some right now?

Shove it in your ass on my behalf...And then someone else will take it from there.
 

Hapa umeniacha hoi!!
 


Seconded. Tumeanza kupoteza wanachama makini nafikiri kwa sababu kama hizi. Simuoni Game Theory. Simuoni Mwafrika wa Kike. Simuoni Augustine Moshi, na wengine wengi. Tujirekebishe.
 


..kuondoka kwa lowassa kuliangusha serikali, kumbe.
 
Seconded. Tumeanza kupoteza wanachama makini nafikiri kwa sababu kama hizi. Simuoni Game Theory. Simuoni Mwafrika wa Kike. Simuoni Augustine Moshi, na wengine wengi. Tujirekebishe.

..nadhani ni suala la mpito tu,mambo yatakaa sawa.

..mambo ya kuchanganya watu akili yametokea sana mwaka huu,hasa hili la uchawi bungeni!
 
Seconded. Tumeanza kupoteza wanachama makini nafikiri kwa sababu kama hizi. Simuoni Game Theory. Simuoni Mwafrika wa Kike. Simuoni Augustine Moshi, na wengine wengi. Tujirekebishe.

Ni kweli kabisa Mkuu Kitila, kuna watu naona wanahitaji permanent ban, au wawekewe limit ya posts kwa siku, ili mawaidha yao yasiyo na mtiririko waweze kuya compound na kuyafit ndani ya allowance. Kila thread inakuwa inaharibika wakiidandia.

By the way, sidhani kama GT ameondoka kutokana na sababu hii, naamini ameondoka kwa sababu nyingine kabisa. Wengine sina uhakika nao.

SteveD.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…