Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #41
Achana nao, fata maisha yakoUkisoma juu hapo juu umeandika ngoreheni sana.nkajibu wameipata hiyo ngoreha.kuhusu ticha unalaumiwa kwa kuwa na nongwa sana na waalimu.
Poa mkuu.Achana nao, fata maisha yako
Mbona unaji quote mwenyewe?!Unaijua cocktail?
Kila siku uko huku mara kule unakuwa unadanga sana siku hizi shoga WeweWe jamaa ni mpumbavu kiwango cha lami
Jana umepost upo songea unatukana walimu
Leo asubuh umepost upo Moshi mbio za kilimarathon
Leo jion umepost upo kahama
Shenz kabsaaa
Nyie ndio wakuita kila dawa ya meno colgate.Sio kweli mshahara wewe huijui cocktail
Njoo unfre kama mm ni shogaKila siku uko huku mara kule unakuwa unadanga sana siku hizi shoga Wewe
USSR
Hujui cocktail wewee Kaa kimyaNyie ndio wakuita kila dawa ya meno colgate.
Google maana ya cocktail.
Njoo upaoneMbona hapo ni sehemu local inaonekana?hata chakula haivutii pia?
We ni lilimbukeni tu. Unakariri majina ya vitu hata usivyovijua.Hujui cocktail wewee Kaa kimya
PromoKahama nzima ukitaka kurelax nenda the magic hutajutia ila bei zao ni nzito saltbae ajipange, bei za Moto. Ila ngoreneni
Tafuta cocktail dar nzima ni sehemu tatu tu, mock tail ipo kazimoto pork segerea peke akeWe ni lilimbukeni tu. Unakariri majina ya vitu hata usivyovijua.
Ingekuwa promo nisingesema swala la bei kubwaPromo
Windhook inapimwa kwenye visadoJapo kuwa nimekosa cocktail wengi hili neno ni geni ila nimepata kinywaji changu pendwa cha Windhoek za Kopo na nyama laini kama sufi, nyama tamu ya Moto
Kahama nzima ukitaka kurelax nenda the magic hutajutia ila bei zao ni nzito saltbae ajipange, bei za Moto. Ila ngoreneni sana View attachment 2528734View attachment 2528735
Kule usukumani hicho Ndo kiwanja kikali𤣠na hivo Kuna kiswimming pool basi huwaelezi kitu, ila kisehemu kidogooo, kimebana!Mbona hapo ni sehemu local inaonekana?hata chakula haivutii pia?
Unamfuatilia kiasi hicho mkuu?We jamaa ni mpumbavu kiwango cha lami
Jana umepost upo songea unatukana walimu
Leo asubuh umepost upo Moshi mbio za kilimarathon
Leo jion umepost upo kahama
Shenz kabsaaa
Yeah sure kumbe unapajua.mkuu101 hiyooo.
Katika sehemu ambazo ratiba zake za ndege hazi connect kirahisi ni huko songeaWapi nimesema nipo moshi? Lofa we tahila mbwa wewe hujui Samia Leo yupo burundi by saa mbili yupo dar, songea to kahama ni kugusa tu Kwa Sasa