Sub ya Mahrez imeleta uhai , Alvarez aliongeza pressing kule mbele ....
Arsenal walikuja na tactic ya kukabia juu ,ortega kampigia mipira mingi Sana haaland ya juu .....
Winger zote Leo zilipotea ,Mahrez , grealish ,tulitegemea midfielders kufanya mashambulizi Nako ilikuwa ngumu ...
Hawa arsenal ni akili tu inatakiwa kutumika ...
Sijui kwanin pep huwa anaamua kumuacha Rico wakati trossard alikuwa anamsumbua ,,walker alitakiwa kuaanza mapema ,ubora wa Ortega umesaidia la sivyo trossard alikuwa kashatufunga ...
Game ilikuwa ngumu Kwan arteta anamjua Sana pep ,ndio maana walikabia Sana juu arsenal ....
Ake is the special one ...
Larpote awe anaanza aisee ,stone anakabia macho ,shots 2 on target za trossard zilitokea kwake .....