The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Gundo ,rodri ,Mahrez , grealish..hakuna aliyekuwa anampigia haaland mipira ,hata kama haaland kashatengeneza movement nzuri za mikimbio ....


Haaland amshukuru Sana kdb...
 
Pep tatizo lake ni Moja tu ,hawezi kufanya sub ....

Sijui aliwaogopa Sana lepzig.....

Foden ,Alvarez ilitakiwa waingie
...
 
Ukiangalia body language ya pep ni kama kashafeli tayari kutupa CL ,saizi hana mentality kabisa ya ushindi ,team yetu Kwa Sasa ni legelege Haina passion Tena,hakuna energy Tena ,kiufupi wakati wa kuwin CL ilikuwa misimu miwili nyuma .....


Kwa Sasa team yetu imashuka mno ,na wachezaji hawajiiamin Tena kama wanaweza kufika mbali CL ,hata pep mwenyewe hajiamin Tena ,.....kiufupi team yetu inazidi kupungua fighting spirit...
 
Hio ndio "End of an era" kati ya Liverpool na Man City aliyoizungumzia Sir Ten Hag baada tu ya kutua kwenye dimba la Old Trafford.
Kwa haya yanayotokea sasa nimejikuta namuogopa na kumuheshimu sana yule mzee, licha ya kua ni kocha bora kabisa kwa sasa duniani pia ana maono ya mbali sana.
 
Kama pep asipoingia sokoni msimu ujuo kuleta world class player ,Hawa kina Gomez ,akanji ,ake uwezo wao ndio ule ,kutegemea maajabu kutoka kwao ni uongoo mkubwa ,tunaenda kuchezea anguko kubwa Sana kuzid hata Liverpool...
 
Una maanisha ukiacha kdb wengine wote ni average players?
 
Una maanisha ukiacha kdb wengine wote ni average players?
Huyo ndio key player mwenye uwezo wa kutengeneza open chance Kwa wengine .....


Gundo ,rodri ,Mahrez , grealish,Hawa wanajitahidi kuwa na possession football bila kuwa na threat kwampinzani ...

Hao wote hakuna hata aliyekuwa ana risk kupiga mipira mbele Kwa haaland ....
 
Jana tumecheza vizuri sana kipindi cha kwanza.
Kipindi cha pili leipzig walikuja kushambulia zaidi na kutupress kuanzia golini, wakapata bao la kusawazisha.

Baada ya hapo tukaanza kushambulia tena lakini hatukufanikiwa.

Kukosekana kwa link kati ya midfielders na haaland lilikuwa ni tatizo mojawapo lililotuangusha tukashindwa kuwa outscore leipzig.

Mtu anakuja kusema timu haina passion, wachezaji hawajiamini sijui mara kocha hajiamini really?!

Pep kusema si rahisi kushinda goli 4 kwa leipzig hajiamini?!!

Tumecheza vizuri kucontain pressure ya leipzig kuliko hata msimu uliopita tulivyokutana nao.
Kukosekana kwa KDB ambaye huwa ana link-up vizuri na haaland ni factor mojawapo iliyotufanya tukashindwa kuscore goals lakini pia hata defense ya leipzig iko vizuri.
 
Kwahiyo Gundogan, bernado, rodri, mahrez ni average players kwasababu hawawezi kumtafuta haaland?
wote hao hakuna ambaye yuko direct,style yao ya uchezaji ni ile ya nipe nikupe that's why walisajiliwa ili kuja kutimiza mahitaji ya tiki taka football.

Unapokuwa na Haaland maana yake unahitaji kiungo ambaye anacheza direct football ili aweze kupick mikimbio ya straika at any time when they happen.
Hapa ndipo umuhimu wa kdb unapokuja.

Kuanza kuwaita average players eti kwa sababu wanashindwa kumlisha haaland nakuwa sikuelewi.

Unatakiwa ujue kuwa uwepo wa haaland unawalazimu wacheze direct & aggressive football wakati natural style yao ya uchezaji ni tiki taka football.
 
Kwa mtu aliyeangalia mpira jana,atagundua kitu pekee tulichokikosa city ni ku anticipate potential movements za haaland kwenye box.
kumkosa KDB imekuwa ni pigo kubwa.
Tungeliweza kwenda half time tukiwa na zaidi ya goli 1.

Kipindi cha pili ambacho leipzig walifunguka sana tulikuwa na uwezo mzuri zaidi wa kupata goli/magoli mengine hasahasa kwa kutumia advantage ya pace & strength ya haaland kama angekuwepo mtu sahihi wa kumpenyezea mipira.

Tuna uwezo mkubwa wa kuwapiga pale etihad KDB akishapona.
 
Sometimes ukiona line up unaogopa bt ukichek sub unajipa moyo unasema si haba atatoka huyu ataingia huyu na kutakua na positive results.
Halaf unakaa unakumbuka kua pep kwenye kufanya maamuz esp ya sub ni mzto sanaaaaaa ndo unaposema hiiiii tumeishaaaaaa[emoji3]
Binafs jana skuwatch nlijua tu kitaumana hata hyo draw skutegemea,anyways wacha tusubr sec leg tuone
 
Next: FC Bornemouth

A must win game.
Hope kdb na laporte watakuwa wamepona magonjwa yao.
 
Kama timu inashindwa kupata ushindi na unasema tumecheza vzuri ,basi ndio maana nasema "hatuna mentality ya ushindi na hatuwezi chukua CL Kwa mentality ya hivo "

Hata nilivoona pep anaongea kama wewe hivo ndio nikasema ,kashapunguza kujiamin kabisa ,ndio maana hata wachezaji Hawana "monster mentality uwanjani " ile pressing waliyotupiga lepzig mpaka kusawazisha timu kubwa kama real Madrid wasinge switch off walikuwa wanaendelea vile vile na tungepigwa nakuambia ...ni vile lepzig kama walitulia ,....

Mentality ya sijui tumecheza vzuri ukiileta kwenye CL knock out stage ,jua your out of CL ,hii stage ni kuhakikisha unamaliza game mapema soon as possible, aggregate ya 1-1 ni kumpa nguvu mpinzani kuja na high energy second leg ....

Pep hawezi tupa CL mzeee hada this time tegemea hata semi final kutofika ...

Kwa mtu anayeangalia mpira daily ni kuwa dalili zinaonesha huko mbele tunakoenda tunazid kudecline ...kama hakuna sajili za worl class player next window we are finished ....
 
Cancelo anatakiwa kurudi ,game kama ile cancelo utaona anapanda mbele ,kupiga cross nyingi ndani ya box kumtafuta haaland ,....tik tak and ball possession without attacking is wastage of time na ndio kina gundo ,Mahrez , rodri, grealish walikuwa wanafanya ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…