Dah, eti kichwa govi, Ngoja nkaku report kwenye jukwaa la wana arsenyeto unawatukania kichwa govi wao.Man city hatuna huruma na kenge yeyote yule haijalishi ulikuwa mchezaji wa man city ni Kichapo kwa kwenda mbele bado wawili tu Bayern na yule kichwa govi wa arsenyeto
Baada ya haaland kutoka ndio Alvarez anapata nafasi ya kufunga ...Ila Alvarez Leo kapiga kazi asee, ile work rate yake ni kubwa mno.
Dah Kompany atusamehe sana.
Alvarez alikuwa ana majukumu tofauti wakati haaland yumo, alikuwa anacheza chini ya haaland ,alipotoka ndio Alvarez akawa central striker.Baada ya haaland kutoka ndio Alvarez anapata nafasi ya kufunga ...
Haaland + Alvarez...Bado kivuli cha haaland kinamfunika Alvarez ..