Agustin kun Aguero
JF-Expert Member
- Mar 22, 2023
- 532
- 641
Borrusia wanataka 100m-180m kwa Bellingham.Bellingham € 100+ million.
Gvardiol € 100+ million.
Bellingham sionagi maajabu yake kabisa yan.
Tutakuwa wajinga kulipa € 200+ million kwa watu wawili tu.
Sioni kama tunaweza kuwachukua wote wawili sababu zinahitajika sajili za kutosha kurefresh kikosi, kuspend pesa yote hiyo kwa watu wawili utakuwa ukichaa.Bellingham € 100+ million.
Gvardiol € 100+ million.
Bellingham sionagi maajabu yake kabisa yan.
Tutakuwa wajinga kulipa € 200+ million kwa watu wawili tu.
Mimi naona tungeachana na Gvardiol tukamchukue yule dogo Vuskovic bei chee tu atatufaa kwa future baada ya kina Laporte na stones kuchoka (Dias na Akanji bado umri ni rafiki) ila Kwa sasa bado tuna mabeki wa kati wa kutosha hakuna haja ya kuspend big kwa gvardiol.Borrusia wanataka 100m-180m kwa Bellingham.
Leipzig wanataka 110m kwa Gvardiol.
Demand yao sokoni ndio inawafanya wanakuwa na price hizo japo kwa Gvardiol naona kama kawa overpriced.
Hata kama gundogan na silva wakibaki bado inaitajika dam changa pale kwenye kiungo, kdb na gundo umri unaenda.Mimi naona tungeachana na Gvardiol tukamchukue yule dogo Vuskovic bei chee tu atatufaa kwa future baada ya kina Laporte na stones kuchoka (Dias na Akanji bado umri ni rafiki) ila Kwa sasa bado tuna center backs wa kutosha hakuna haja ya kuspend big kwa gvardiol.
Inatakiwa kutafuta left back,right back na viungo wawili (kama bernado na gundogan wakiondoka).
Unajua kuwa foden natural position yake ni attacking midfielder?Hata kama gundogan na silva wakibaki bado inaitajika dam changa pale kwenye kiungo, kdb na gundo umri unaenda.
Wanahitajika watu wa kuwa wanawapumzisha baadhi ya mech.
Uzembe wa namna iyo af bado wanamrudisha?Do you remember John Brooks?
Huyu bwana ni mwezi mmoja tu umepita toka alipoondolewa kwenye majukumu ya VAR baada ya kufanya makosa ya wazi kwenye mechi ya Brighton vs Crystal palace.
Alichora mstari wa offside kutoka kwa beki wa palace ambaye hakuwa wa mwisho na kupelekea goli la Brighton kukataliwa.
Huyu bwana amerudishwa tena na amechaguliwa kwenye VAR kwaajili ya mechi ya MAN CITY VS LIVERPOOL.
Fingers crossed.
Hawezi kufanya uzembe huo tena.Uzembe wa namna iyo af bado wanamrudisha?
Taarifa za mwisho za Mendy zilionesha kiwa hana hatia katika makosa yake ya ubakaji yaliyokuwa yanamtuhumu .....Hivi Benjamin Mendy yuko wapi sku hizi
Yupo anatafuna mshahara wa bure tu na makesi yake.Hivi Benjamin Mendy yuko wapi sku hizi
Duh so yupo yupo tu,mana hata mancity hawajamweka kwenye list ya players waoTaarifa za mwisho za Mendy zilionesha kiwa hana hatia katika makosa yake ya ubakaji yaliyokuwa yanamtuhumu .....
Sioni kama anaweza kurudi Tena ,maana mara nyingi clubs zikishaona mechezaji anahizo tuhuma wanaogopa kumrudisha maana wanaweza kuharibu brand....wanakuwa kama vile wanasupport hivo vitendo ...
Kumbe bado analipwa na city duh,sa si avunje mkataba aende hata arabun huko akachezeYupo anatafuna mshahara wa bure tu na makesi yake.
Bado ana kesi, hawezi kucheza mpaka kesi yake iishe.Kumbe bado analipwa na city duh,sa si avunje mkataba aende hata arabun huko akacheze
Sasa jamaa inatakiwa aanze kubeba majukumu kama haya, na kesho ni nafasi nyingine kwake kuonyesha makali.Kesho namuona Alvarez akituwakilisha...