Hii thread imetelekezwa?nimeikuta page 15!teh teh teh!ndetichia game lenu na aston villa saa ngapi kaka?
Habari yako! kila laheri ujeremani
Usiwe na shaka Bayani Munichi watakula kipigo kitakatifu vijana wako Colney walipewa siku 10 kuja na formula ya kuwamaliza wajerumani.