The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hawa Leeds ni wafu, tusingekuwa na mashindano mengine hawa Leo walikua wanakula wiki.
 
Hapa tu naona kazi ishaisha mapema maana kuna magoli bado yanategemewa kufungwa ambayo ni lazima kabisa!
 
Incredible king Kevin, akishika Mpira big Sam anajambajamba tu huko.
 
Mechi ni kama tumeshaimaliza hii, ilikuwa tuwapige 5 au 6 Ila kipa wao na kukosa kwetu umakini kumewaokoa.
 
Toa KDB, toa haaland, toa gundogan. Game imekufa hii
Acheni uoga mvhezaji anatakiwa acheze ili mechi inayofuata awe fit. Hapo wanapumzika nini? Acheni wache. Sub dk za 70 huko
 
Acheni uoga mvhezaji anatakiwa acheze ili mechi inayofuata awe fit. Hapo wanapumzika nini? Acheni wache. Sub dk za 70 huko
Lolote laweza kutokea utashangaa mtu anakatwa kiatu anaenda wodini, mambo yanaenda kwa mikakati haya bwashee
 
Nilisema, hawa Leeds kushambulia hawajui kudefend hawajui sasa sijui tunacheza na timu ya aina gani hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…