The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

We are Citizen 🤍🤍🤍
Tupeni ubingwa wetu mapema
Waleteni hao Madrid hata sshv tu
City bingwa miaka 5 mfululizo
 
"You have to take it!"

Pep wasn't happy after Haaland gave this penalty kick to Gundogan to try and complete his hat trick. Gundogan missed and Leeds scored minutes later [emoji51]
 
Hii game sijui tulikuwa tumeidharau au vip ....

Hizi dakika za mwisho ilikuwa pressure tupu ....
 
Leo Bernardo amecheza mechi yake ya 300 ndani ya jezi ya man city, rodri imekuwa mechi yake ya 200.
 
Leo huko kipofu kaona mwezi, Chelsea kashinda 3.
 
Mistake kama hizi ndio maana tunatolewa CL kijinga ..

Tunadominate game na kila kitu ,last minute tunafanya mistake bila sababu ....

Kwa dakika zilizokuwa zimebaki assume ile Leeds ni Madrid ...
 
Sijui kama pep atamuelewa Leo gundo ,...

Sijaona hata anaenda kumpa mkono gundo ,baada ya game na ni man of the match ...

Wachezaji wamejisahau na kuanzia kupeana tactics wenyewe Kwa wenyewe uwanjani kudadekii,wanasahau kuwa kila kitu pep ndio anajua ,hapakuwa na haja ya haaland kumpa gundo apige penalty ,hata kama alikuwa anatafuta hat trick,haaland ndio penalty taker siku zote [emoji23]

Sasa walitaka kusababisha kupoteza game kijinga kabisa ...

Gundo katupa ushindi ndio ,simlaumu Kwa kukosa penalty,ila kipindi cha pili tumecheza ujinga,wachezaji wamerelax no desire ,,...

Body language ya pep Leo naona kakasirika sanaa ..

Next : Madrid
 
Guys nilikuwa busy sana leo sikupata muda wa kucheki game ndio nimemaliza kuangalia replay sasa hivi.

Kiufupi ni kwamba first half tuliingia kama timu inayotafuta matokeo na tulikuwa na uwezo wa kuondoka na zaidi ya goli 4.
Second half tukarelax, tukapooza mchezo, tukapoteza seriousness matokeo yake leeds wakataka kurudi mchezoni.
Hatukuwa clinical kama siku zingine na hatukuwa serious na game, inatakiwa pep atilie mkazo kwa wachezaji kwamba it's not over until it's over.
 
Game tumeianza vizuri lakin tukaishia kubana mbupu, hii mentality ndio ilituua kwa madrid msimu uliopita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…