The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Real madrid (away)
Everton (away)
Real madrid (home)

Hizo game tukitoka vizuri ndio basi tena.


Chelsea
Brighton
Brentford
Man utd
Milan/Inter

Hawa hapa hamna wa kutusumbua.
 
Basi tuseme hivi ...

Game

Vs Everton W
Vs chelsea W
Vs Brighton, draw
Vs Brentford ,draw

Tunabeba ubingwa Kwa goal difference...

Kwa hatuna tuliyofikia hakuna namna yeyote inayoweza fanya tukapoteza game hata shetani na mizimu yake ishuke , labda Kwa mbaaaaaaali draw .....na penyewe Kwa mbinde ...

KIUFUPI ARSENAL KAYAKANYAGA MWENYEWE [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vinicius jr ni moja ya wachezaji ambao ni injury free na wanacheza muda mrefu bila fatigue.
Anatumia njia inaitwa Hypebaric oxygen therapy kila anapotoka kwenye mechi, njia ambayo inasaidia mwili ku recover kwa haraka.

City hakuna mchezaji anayetumia hii njia, pep awe mjanja kuwashauri watumie hii therapy kuendana na ugumu wa ratiba tusije kukata upepo.
 
Kikosi cha wachezaji 23 kilichofanya mazoezi ya mwisho leo Ake hayupo.


Maana yake hawezi kuanza hata ikitokea akawepo kwenye travelling squad.
 
vs Everton hii game ni ngumu ipo katikati ya game za madrid na ni away,inakuwa ni multitasking. Hao wengine hamna wa kupata hata sare maybe brentford kama tukiwa tumeshatangaza ubingwa.
 
vs Everton hii game ni ngumu ipo katikati ya game za madrid na ni away,inakuwa ni multitasking. Hao wengine hamna wa kupata hata sare maybe brentford kama tukiwa tumeshatangaza ubingwa.
Mkuu Everton tunamuogopea nin ? ile draw ya 1-1 Etihad ni Moja ya bahati ambayo hatakuja kukutana nayoo Tena ,....

Team pekee ya kutusumbua ni Brighton ,Kwa vile huwa anaturn up na anawachezaji wenye quality kubwa mnoo ya kuanzisha mashambulizi nyuma ......

Hata huyo Brentford atapigika goli za kutosha mapema mnoo ,hizo team za kupaki bus na kusubili kuvizia vizia pep huwa anazinyoosha ....

ile game tuliyofungwa na Brentford dakika ya 90+ mim naona kama vile tulikuwa tumekosa utulivu tu na kupanic ...

ila kila kitu tulimzidi ....

This time hakuna ushindi wa kubahaitisha ,no tactics,no win ,hizo team sijui everton ni team ambazo ni tactics destroyers ,bus parking ,,time wasting ....hawana ujanja wa kuja jino Kwa jino na city
 
Man city squad that have trained today.

GK's: Ederson, Carson, Ortega

Defenders: Dias, Laporte, Akanji, Stones, Walker, Lewis, Gomez.

Midfielders: Rodri, KDB, Gundogan, Perrone, Bernado, Kalvin, Grealish, Palmer.

Fowards: Alvarez, Haaland, Foden, Mahrez
 
Kikosi cha wachezaji 23 kilichofanya mazoezi ya mwisho leo Ake hayupo.


Maana yake hawezi kuanza hata ikitokea akawepo kwenye travelling squad.
Asipokuwepo ake means walker ana uhakika wa kuanza, Akanji anaenda left.
Walker is the perfect match for Vin.
 
Asipokuwepo ake means walker ana uhakika wa kuanza, Akanji anaenda left.
Walker is the perfect match for Vin.
Nop, pep bado anaweza kuanza na laporte na akanji kama fullbacks.
Kutokuwepo ake bado sio guarantee ya walker kuanza though hata mimi nitapenda akianza walker right back.
 
Kulikua na taarifa kwamba bellingham amekataa offer ya city, ni kwamba bado hatujapeleka official offer yoyote kwa dortmund/Bellingham.
 
Real madrid (away)
Everton (away)
Real madrid (home)

Hizo game tukitoka vizuri ndio basi tena.


Chelsea
Brighton
Brentford
Man utd
Milan/Inter

Hawa hapa hamna wa kutusumbua.
Mgumu ni madrid tu hapo
 
Arsenal wanakwambia malengo yao yalikua kufuzu uefa [emoji23][emoji23]
 
City hii ya treble kuna watu wanateseka asee.

Mpaka kuja kufikia june, kuna watu watakuwa washakonda wamebaki skeleton.

Three peat loading...
Treble loading...
 
Nop, pep bado anaweza kuanza na laporte na akanji kama fullbacks.
Kutokuwepo ake bado sio guarantee ya walker kuanza though hata mimi nitapenda akianza walker right back.
Walker ameimpress recently, there no way ataachwa benchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…