The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Palmer ,Gomez Hawa sio wachezaji level ya city ....pep awatafutie team hata Kwa mkopo huko ...
 
Game mbili za Brighton na Brentford zinanipa wasiwasi game na united ...

Pep anataka kuanza kufanya ujuaji mwingi ....
 
[emoji2391][emoji2394] goals in his first season! [emoji1666]

Your @premierleague Golden Boot winner [emoji966]
 
[emoji146] Kevin De Bruyne [emoji146]

The Premier League Playmaker of the Season with 16 assists! [emoji92]
 
Dah watu mnalalamika kisa tumefungwa na brentford [emoji23][emoji23]

Kwaiyo mlitaka tucheze afe kipa afe beki kwenye mechi ambayo haina impact yeyote?! Kocha yeyote yule angekuwa kwenye situation aliyopo pep asingefanya hivyo mnavyotaka.

Kombe tumebeba huku zimebaki mechi 2, baada ya hapo zinafata final 2 mfululizo halafu bado mnataka timu ipambane kama vile tunapambania kombe ebu acheni utani.

Niambieni ni kocha gani dunia hii angekuwa ana final 2 zinamsubiri halafu bado anakomaa na mechi ambazo hazina impact, nani?
Hao kina KDB wangeumia bado tungekuja kuanza kulialia humu kwamba oh pep anaweka full mkoko kwa mechi ya hivi anarisk wachezaji.
 
Pep ameogopa kupata majeruhi. Maana hao Brentford wamekamia hii game kama wanacheza fainali. Halafu key players pia ni muhimu kupumzika before final maana wametumika sana consecutively.
 
Kumbuka msimu wa 2021 tulipoteza final kijinga hivi hivi ,Kwa kuanza kupoteza game ambazo wanaona sio mhimu ,kumbe ndio tulikuwa tunaua winning mentality kwenye team ....mwisho wa siku yakawa mengine ....

Issue sio kupumzisha wachezaji ,issue ni kuwa team inapoteza mentality ya kushinda ,hizi game mbili za Brighton na Brentford tuzizichukulie poa kabisa ...this is warning ...

Kama unaona ni kawaida basi jitafakali ,mim nishapitia hiki kipindi mwaka juzi ,najua situation kama hiziii ...

Tutapoteza game ya united mtasema ni fa ,mwisho wa siku we will bottling the fucking CL ndio mtakuja kuamka ,kuwa this is not normal..
 
Nilishasema huyu Pep anatakaa kuharibuu final ya UEFA. Tusiponyanyua kwapaaaa hatumuelewiiiiii
 
Basi sawaaaah
 
Yani kwenye kikosi kilichotumika sehemu kubwa mwaka huu, walioanza leo ni ederson na walker pekee, halafu unakuja kulalamika timu haina winning mentality seriously?
Ulitaka gomez, phillips, palmer wakupe output the same na KDB, Rodri, bernado, gundo?
UCL ya 2021 ni poor team selection ndio ilituangusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…