The way lilivyopatikana, flow ya mpira, movements n.kLile lilikuwa mbal kdg
Jamaa confidence hamna, labda aachiwe mechi za carabao azidi kujiamini.Philips bado
Majeruhi yametuandama, kama kovacic asipokuwa fiti, nunes atakuwa na chance nyingine tena ya kuanza[emoji2424] Pep Guardiola: "Bernardo Silva will be out for 'few games', John Stones will stay away for 'longer', Jack Grealish maybe in a week or 10 days. Mateo Kovacic might be back on Saturday. We are in trouble!"