Mwaka mbaya kwa haters
...and here we come! Hongereni kwa kichapo. Mwaka huu mmefulia mbaya
Kanyima penati wamewatungua
The 6ft8in gk could save it.
Mancini alimpiga sub Pantilimon kwa sababu katika mahojiano yake na Daily News(UK) alisema hii itakuwa mechi yake ya mwisho msimu ujao atatafuta timu nyingine ili awe anapata namba ya kudumu, Mancini kusikia hivyo akamweka benchi. Kwa Romania nchi zima including G Harghi ilikuwa inasubiri kumuona akicheza Fainali ya FA lakini hilo halikutokea.
miti yote imeteleza, tusubiri next season.
Mpira una raha na machungu yake
Hakika. Ups and dowms hazikosekanimiti yote imeteleza, tusubiri next season.
Mpira una raha na machungu yake
well said dude..