upo sahihi mkuu,leo naona Chelsea wakifa 3 mtungi
Kipindi cha Pili tunajipigia ,subili uone ...Chelsea leo anawaua nyie wahuni
Mech imechangamkaKipindi cha Pili tunajipigia ,subili uone ...
Hii game mkipata hata draw uje uniite mbwa nimekaa pale 👉Kwa team ipi uliyo nayo?
DOKU ndiyo ushinde 3-0?
Yashazoea janjajanjaMnapewa mabao ya ajabu mno aisee
Penalty za rushwa hizi
Mnategemea rushwa kushinda
2-1
Doku nimegungua anacheza vzr kwa wapuuz ila si kwa watu walio tuliaKwa team ipi uliyo nayo?
DOKU ndiyo ushinde 3-0?
Wanawatandika wahuni nyieKipindi cha Pili tunajipigia ,subili uone ...
Game ikiisha tutakuja kuongeaupo sahihi mkuu,leo naona Chelsea wakifa 3 mtungi
Ha hahaYashazoea janjajanja
Ila mbio za sakafuni
Rastafarian FC leo wamevuta bangi za Arusha[emoji23]
Watawachapa tu nawa Mwaciti fc
Tulia dogo utapata kisukari bure 😂Yashazoea janjajanja
Ila mbio za sakafuni
Rastafarian FC leo wamevuta bangi za Arusha[emoji23]
Watawachapa tu nawa Mwaciti fc