[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu bora ukalalee, mwenzio hapa 1 haikai na 2 haisimamii, hata sielewiii.Coca ntakupasua ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilale mechi imeisha kwani 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu bora ukalalee, mwenzio hapa 1 haikai na 2 haisimamii, hata sielewiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bellingham kapigwa chenga moja na Silva Hana hamu naye hata kumfuata hamfuati anamuangalia ahahaha
Naombaa ututolee balaa lako hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilale mechi imeisha kwani [emoji23][emoji23][emoji23]
Nawasubiri nione km na nyie baba Jane bye bye au vipi??
Baba Jane 👋Naombaa ututolee balaa lako hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tokaa hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baba Jane [emoji112]
Udugu nakusubiri tupande boda mshkaki hapa.!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Toa nuksi na balaa hapa, khaaaahhuyu Rudger angekuwa makini ungekuta City ameshakalia kuti kavu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan tukipita hapa, Kwapa tunanyanyua tenaa.mkipita psg anawasubir final uko
sometimes football isn't fair ndicho wanachokiona huko leoHii mshinde tu aisee. Ili mpira uwe fair.
Ww lazima tupande mshkaki kurudi England 🤣🤣🤣🤣Tokaa hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
raha ya mchezo ni kuona magoli yakifungwa mkuuToa nuksi na balaa hapa, khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu em tulia bhana.Ww lazima tupande mshkaki kurudi England [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]