Ni kweli pia.raha ya mchezo ni kuona magoli yakifungwa mkuu
Yaan tukifika hapo, bas tumetokaaa.Kwenye matuta hatupo vizuri kabisa
Kwani nimekataa?? Boda yupo hapa anakusubiri usije kutembea kwa miguu 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu em tulia bhana.
hiki kipindi cha pili cha ET kuna timu inakufa hapaNi kweli pia.
Kwenye penalties, man city anatolewaa.hiki kipindi cha pili cha ET kuna timu inakufa hapa
Yaan kipara anaudhi mnoo kwa sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pep kamuomini ederson kudaka matuta [emoji23][emoji23][emoji23]
😀sometimes milingoti ya goli inageuka goalkeeperKwenye penalties, man city anatolewaa.
Hapanaaa!!!!😀sometimes milingoti ya goli inageuka goalkeeper
tusubiri tuoneHapanaaa!!!!