Mi Madrid damu damu sio hao utopoloWewe na ramli zako Mzee [emoji23][emoji23][emoji23]sijui Ni shabiki WA Arsenal
Hahahaaa Madrid anajua moto Wa man city ....Mi Madrid damu damu sio hao utopolo
Nawangojeni next season nikiwa na kijana mbappe na kwa jinsi mlivo anza kujichokea msimu ujao uefa ni kuijipigia tu
ili mpunguze presha title run inawabidi mpunguze game ya GD na hilo ndilo analowahimiza sana pep kwa vijana wakeNi kipindi cha kwanza .
Ubao unasoma halland 3
ili mpunguze presha title run inawabidi mpunguze game ya GD na hilo ndilo analowahimiza sana pep kwa vijana wake
mbali na hapo mki draw tu na spurs presha yenu yakushinda nyingi mmechi sawa GD na arsenal itapelekea downfall yenu
at least wewe ni mmoja wa arsenal fan upo sincerelyWatashinda mechi zote. GD siyo shida kwao. Hawa wahuni nawakubali kwenye kuhakisha wanashinda hatua za mwisho. Ukiona wamepoteza ni kwa sababu wameshapata ubingwa. Ila kama bado, hawawezi kupoteza game.
Tutakutana club world cup USA mkuuHawa wakulima wakina painkiller vita yetu sisi Madrid na ninyi ipo huko UEFA sio huku
Mim Sina pressure na game zilizobaki ....
Najua matumain ya Arsenal Ni Spurs ,lakin Huyo Spurs tutamfanya kitu mbaya Sana ..
No hope
Arsenal watajuta wenyewe kile kichapo cha Astonvilla ..
Kiufupi Astonvilla alishatusaidia ,saizi imebaki Sisi kujisaidia....
Mkuu sijui mlishindwa kupiga hesabu mapema ,mkaleta mapuuza ...ππππ Villa alikulegezea kamba wewe ila sisi sasa....
Spurs mechi alizobakiza anafungwa zote pimbi yuleili mpunguze presha title run inawabidi mpunguze game ya GD na hilo ndilo analowahimiza sana pep kwa vijana wake
mbali na hapo mki draw tu na spurs presha yenu yakushinda nyingi mmechi sawa GD na arsenal itapelekea downfall yenu