Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
Tusubiri game iisheLeo vijana wamechafukwa yaani hawa wagonga nyundo leo wanakufa kifo kibaya sana
Yaani hawacheki na kima. Full mashambulizi.Leo vijana wamechafukwa yaani hawa wagonga nyundo leo wanakufa kifo kibaya sana
Sasa bado ngoma mbishi. Arsenal ikishinda 3-1 na Mancity itoke draw ya 2-2 Arsenal bingwa.43'
2 - 1
Lengo! Mohammed Kudus (West Ham) anaweka mpira nyuma ya kipa!
Kwikwikwi kwiiiiiMan City hachukui ubingwa
AiseeeMan City hachukui ubingwa