The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Man city mbili



If your life give you a chance of having phil its better to be foden and not jones
 
Leo vijana wamechafukwa yaani hawa wagonga nyundo leo wanakufa kifo kibaya sana
 
41'
Josko Gvardiol (Manchester City) anavunja changamoto zilizopita ndani ya eneo la goli, lakini anaweka kasi kubwa kwenye pasi yake kwa Phil Foden.
 
Mtu kaja miaka 7 iliyo pita kuja kulima makombe 6 yakiweo ma 4 mfululizo toka 2021 hakuna hopes

Football must be saved Arsenal wata stop this reign fot the next years
 
kuna mashabiki hafu kuna nyie pamoja na kubeba ubingwa ila bado kumepoa kama kibonde wa championship kabeba ubingwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…