[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mmmekwisha nyie"If anyone could fix man city, it's Pep Guardiola, but hopefully after Sunday"
Arne slot.
Huyu kipara version 2 tutamfufukia siku hiyohiyo.
Tumeambiwa hivi toka 2020.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mmmekwisha nyie
Leo hatufungwi na jogooNyie mamasita visima vya mafuta vimeanza kukauka uarabuni pesa ya kuhonga marefa na FA imekata
Nawachukia km vibaka morogoro π¬π¬
Mkishuka daraja nachinja ngamia
Jinga nyie kazeni kiuno mfunge kuku broiler leo
Mkuu ni kweli? Maana mwenendo wa City mbayaLeo hatufungwi na jogoo