The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Tunakwenda kuzika utawala wa pep uingereza.binafsi Nina furahi.
 
Nyumba anayotokea Haaland mkimbizi kwa sasa


Jenga Nyumba ya Tembe Tuuu hapo gharama nguvu zako na Jasho na kaharufu ka mwili kidogo



Ndio maana tuwape hongera wananchi kwa kuwa..


Chadema ikishinda (Kimyaaaa mtaa wote kichekooo)


Chadema ikishindwa (Tumeibiwa kura - Hakuna uchaguzi kuna uchafuzi - Kura feki - Polisi wamewasaidia)


Inahitaji JESHI, Polisi, FBI (Kwa sababu ya watalii wanaokuja Zanzibar na Kilimanjaro - Watalii hawawezi kuja Tanzania kuangalia viazi utamu au machungwa ya Tanga), ICC, kujua aina ya Siasa zinazofanyika Tanzania


Hata malengo ya maendeleo endelevu wamekupiga bao la kisigino sema tu hawatakiwi kutangazwa

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…