Huyu pellegrini huyu we muache tu...timu kinabanduliwa daily yeye yupo yupo tu
Aaaaah! Ndetichia vp umeibiwa camera?
Hahahahaha Man Shit. Wap mkuu ndetichia? mpaka muda huu hujaja kuweka picha! Au hutak tuone matukio ya jana katika picha!? Jimwage mwage basi kwenye uzi wako mkuu Ndetichia.
Hahahahahahahahaha
Usajili wa pesa Mingiiii