The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hatuna mechi katikati ya wiki hii, wikiendi tuna salford FA.

Huu sasa ni wakati wa kuwapumzisha watu kama bernado, Akanji na Gvardiol
 
Hata timu iwe mbovu vipi haiwezi kufungwa kila mechi.

Ndicho kilichotokea kwetu, tumekutana na mbovu mwenzetu tumejipigia, haimaanishi tumeimarika.

West ham alikua ana uwezo wa kutufunga goli 2 mpaka 3, same kwa Leicester wiki iliyopita.

Timu ikipoteza mpira unaona the way tulivyo vulnerable pale katikati, most of the time tunakuwa caught off position.
Bado hatuna strong presence pale katikati.

Kiujumla, ushindi wetu wa Leicester na west ham umechangiwa zaidi na ubovu wa wapinzani wetu kuliko ubora wetu.
Next match tuna Brentford, quite stronger opponents, sitoshangaa tukipoteza.
There is still a hell of work to d
 
Soon oscar Bobb anarejea, tutakuwa na options nyingi sana kwenye attacking department.

Hili dirisha likipita bila kupata DM wa kueleweka basi msimu wetu umeishia hapo.

Na sihivyo tu, tunahitaji at least fullback mmoja pia.

Bila hizi sajili tusubiri kucheza conference msimu ujao.
 
Dias anarudi lini kikosini
 
Omar Marmoush
Abdukodir Khusanov

Hawa tukikaza kufikia wikiendi wanatua etihad
 
Manchester City and Omar Marmoush have reached a verbal agreement on personal terms.

A bid to be submitted soon.
 
Bid ya £50m tayari ishakuwa submitted kwa lens kwa ajili ya Khusanov.

We've got no time to waste.
 
Soon bid ya £25m inakuwa submitted palmeiras kwa ajili ya Vitor Reis, CB huyu, miaka 18.
 
Bado sijaona positive news kuhusu DM.

Nadhani tuna move kwa kasi kukamilisha haya madili matatu ili tuanze kusaka DM.
 
Khusanov haja train na timu leo.
Kati ya leo ama kesho tunamaliza dili hili.
 
Frankfurt washaanza kuangalia uwezekano wa kumpata Fulkrug kama replacement ya Omar.

Japo bado tunavutana nao kwenye bei ila dalili ni nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…