Taratibu mnaachia nafasi za watu
dzeko pigaa wewe..
Hamna mmatumaini ya ushindi leo MCI hamko kabisa kwenye game hii, Aguero nje
Manager wa City kainama anasikitika, ashajua tayari kibra, ngoja tuone dk 90
FT; Sunderland 1:0 Man City.
Pole sana Ndetichia mwaka mgumu sana huu. Sijui mtakuwa mko nafasi ya ngapi sasa.
usiogope sana mkuu kwanza ndio HT subiri tuje na come back la hatari..
habari yako kwanza vipi leo mtatoka kweli..