Hezdoggy hapa ndo mnapofeli. Sisi tu Arsenal siku hizi hatuogopi mikwara yenu, sembuse Madrid.Mbele umeletewa Marmoush, katikati kaongezwa Gonzalez, nyuma kaongezwa khusanov.
Mkifa pale kwenu wala halitakuwa jambo la ajabu.
ni kati ya Liver au Barca sio?PSG naona wanaweza kuwa na jambo lao msimu huu.
Yeah.ni kati ya Liver au Barca sio?
YeahYeah.
Either way, itakua bonge moja la mechi.
Kushuka daraja ni dhahiriNyumbu dah😄