The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

City ni kama wanacheza pungufu. Haaland hana msaada wowote. Apumzishwe angie Marmush. Sidhani kama hata ana touch 8 kwa leo. Akapumzike tu.
 
Fabio Capello: "Unajua sipendi nini kuhusu [Pep] Guardiola? Kiburi chake. #UCL aliyoishinda na #ManCity ilikuwa ya pekee ambayo hakujaribu chochote cha ajabu katika mechi muhimu.

"Miaka mingine yote, akiwa Manchester na Munich, katika siku muhimu kila mara alitaka kuwa mhusika mkuu. Alibadilisha mambo, akaanzisha uvumbuzi ili aweze kusema, 'Wachezaji hawashindi, mimi ndiye ninashinda'. Kiburi hiki kilimgharimu Ligi kadhaa za Mabingwa..."

"Ingawa sasa si kosa lake tena, amefanya madhara makubwa kwa soka… Kila mtu amekuwa akijaribu kumwiga kwa miaka 10, jambo hilo limeharibu soka..."
 
Akiumia khusanov ama Dias basi tutakuwa na hali ngumu sana.

Stones,Akanji, Ake hawa wote wako nje si chini ya wiki 8
 
Hatujawahi kufungwa na brighton tukiwa home toka dunia iumbwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…