Mwaka huu watajuuta kutufahamu
dk 90 4 city 4 - 2 car
kupitia kwa f campbell
Naona uko peke yako unapiga kelele! Subiri Tarehe 3 tuwanyonge!
manure 4 arsen 6 liver 2 eveton 3 new castle 4 next is you lad city nyumbani msimu huu ni hatari sana usibonyeze..
Watu wagumu kweli kuukubali ukweli
Chelsea ni nani hata wasifungwe Etihad kama wale wengine?
Watu wagumu kweli kuukubali ukweli
Chelsea ni nani hata wasifungwe Etihad kama wale wengine?
subiri ule zako ukae kimya tu..Chelsea ni chelsea na wengine ni wengine:
Sisi tumemfunga Bayern Munich nyumbani kwake na kuchukua ubingwa wa Ulaya zikiwa zimesalia dakika chache sana tukasawazisha. Sisi ni timu tofauti sana. Unajua lakini huwezi kukiri hadharani..