Wenyeji vipi humu?
Hodi hodi humu ndani jamani!!!! Watoto wa kishua mbona mpo dolo sana????..
Tupo...mnasemaje
City 3 wengine 1
hahahaha...Ndo umejitokeza au siyo???...
Hahaaa umeme ulikatika ndo umerudi sasa hivi
goal la pili, ilikuwa ni clear offside...