Wakuu Habari!? Hongereni kwa Ushindi Wa Leo!
Matumani yaliyikua yamepotea sasa hayo tena yameibuka upya tena kwa kasi kubwa!
Kila laheri ktk kuchukua ubingwa! Mimi Chelsea sina nafasi ktk EPL. Lkn Km mtavuruga nyote Yani City na Liver basi huo ubingwa mtaniachia mimi!
All the best wakuu!
Wacha Mimi nikomae na CL!
Mkuu ndetichia Pamoja sn Mwana!
One love and I love you all!
mkuu,mbona kama upo peke yako humu?
Hahaaa tukowengi bana achanannaobhao
Wafu namba Saba wakazike wafuwao
kwel nimeamini bila yaya hamna kitu!
kwel nimeamini bila yaya hamna kitu!
mkuu,mbona kama upo peke yako humu?
wekeni updates wakuu wengine hatuangalii live!! thanks in advance