karibu mtanange umeanza kunoganoga kwa mashambulizi ya mci
unajua hizi siku mbili tatu mji umetulia SAAANAAA lakini na nyie man city mnataka mji usikalike!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
yyaani hapa nipo hoi balaaa kisa city..
yyaani hapa nipo hoi balaaa kisa city..
keep calm ninja we need to add more goals..Ngoja nikalale wasije sawazisha hawa
Hawa wapigwe cha pili