George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Ahahaaah...hata game yao ya jana?
Tumeshinda goli 10-0 unataka tudisikasi nn?Mashabiki wa hii timu hawana cha kudiscuss kwa sasa...
Ndicho nilichokua namaanisha..!Tumeshinda goli 10-0 unataka tudisikasi nn?
Nimeelewa ndio maana nikamjibu hivyo hivyo. Nenda kwenye jukwaa la liverpool wana disikasi kuhusu salaa na harzad. Ukienda la chelsea wana discus arsenal kuifunga man. Sasa wanataka na ss tuwachokonie.Ndicho nilichokua namaanisha..!
Labda kama haujafuatilia convo mpaka mwisho..!
Man u yupo above arsenal kwasababu arsenal kapigwa na mancity. Na game ya man u na man city bado. Nini kitatokea maana chui atakuwa panya. Man u unapiga kelele wakati hujakutana na aliyekuweka hapo. Mancity atakutandika kama alivyokutandika mara ya kwanza. Muulize liverpool.Kumbe kweli Chui hata akonde vipi, hawezi kulingana na Paka. Man Utd now sits above Arsenal. Same old Arsenal.
Hili povu surely ni la Arsenal fan. Top four mtaisoma kwa jirani😎.Man u yupo above arsenal kwasababu arsenal kapigwa na mancity. Na game ya man u na man city bado. Nini kitatokea maana chui atakuwa panya. Man u unapiga kelele wakati hujakutana na aliyekuweka hapo. Mancity atakutandika kama alivyokutandika mara ya kwanza. Muulize liverpool.
Man u yupo above arsenal kwasababu arsenal kapigwa na mancity. Na game ya man u na man city bado. Nini kitatokea maana chui atakuwa panya. Man u unapiga kelele wakati hujakutana na aliyekuweka hapo. Mancity atakutandika kama alivyokutandika mara ya kwanza. Muulize liverpool.
Mashabiki wasiokuwa na maneno mengi wanapatikana huku..!
Noise neighborMan u yupo above arsenal kwasababu arsenal kapigwa na mancity. Na game ya man u na man city bado. Nini kitatokea maana chui atakuwa panya. Man u unapiga kelele wakati hujakutana na aliyekuweka hapo. Mancity atakutandika kama alivyokutandika mara ya kwanza. Muulize liverpool.
Povu wakati nimetandika Arsenal. Japo kiwango cha city hakipo sawa ila tumefanya kweli. Najua kuna mechi ngumu mbele. Ila wewe man u huchomoi kwangu.Hili povu surely ni la Arsenal fan. Top four mtaisoma kwa jirani😎.
Liverpool bado yupo top. Ila timu zote zina mechi ngumu mbele.Kwamba Liverpool umemtoa kwenye namba?