Leo united tunafungwa,tena nyingi tu
Mkuu kwa mechi kama hizi hutoa matokea ya kushangaza sanaMkuu inabidi mpigwe tu leo maana hamna namna
Draw ila nimeiona kabisa
Mkuu kwa mechi kama hizi hutoa matokea ya kushangaza sana
Nje ya ushabiki ni kuwa mechi hii timu yoyote inaweza kufungwa
Ila kwa hali ilivyo city inawalazimu kushinda na man hana cha kupoteza maana kwenye rada zake amesha poteza top 4
Tatatizo ni mifumo itakayo tumika Leo ndio itaamua matokeo maana city itajaza viungo watao kuwa wanakazi ya kutunza mpira usifike langoni kwaoDraw ya 2-2 au Manchester united anashinda
Magoli yanatoka kwa Lukaku na Rashford, na kama Martial atafunga itakuwa Man U mnashinda
Nakumbuka pogba alihalibu kila kituMan U hatakubali akupe kombe si unakumbuka mwaka jana kuwa mechi mliyoshinda pale Etihad ndio ilikuwa mehi ya kumtawaza City kuhukua Ubingwa? Sasa iliishaje?
Kutoka moyoni naomba tufungwe
Hamna cha kuhofiaMechi ya Leo naihofia kweli yani pep akizingua anapigwa
Hamna namna ya city kupigika kirahisihamna namna mkuu Man City inatakiwa apigike leo
Mkuu usifananishe kombe na big 4Mnajipa moyo kwamba man u atawaachia eeh OGS anaitaka big4 kuliko mnavyo litaka kombe
Come on man u
Ukizingatia tumeshajeruhiwaMnajipa moyo kwamba man u atawaachia eeh OGS anaitaka big4 kuliko mnavyo litaka kombe
Come on man u
Point 3 ni muhim kivyovyote vileMwenyezi Mungu asikie kilio chetu...ni watufunge ama tuwafunge
Nimefikiria draw itakuwa mbaya sana kwetu na city ila tamu sana kwenu
Hamna namna ya city kupigika kirahisi
Heb waambie hawa hahahHapana
Tukifungwa tutafurahi zaidi
Hahahhaa ni kweliMkuu kuimbia dhambi ni kutubu
Man city kuipiga man u ni kama mchungaji kusalisha ibada
Sisi wa city tunajua upande wetu hahaHii Derby ni once in a lifetime, yaani washabiki wanajikuta hawaelewi wachague upande upi.
Safi sana.
AsanteHahahhaa ni kweli
Leo hawana upande ila man u tuKazi kubwa ya kuchagua upande ni Liverpool
Maana hawaipendi man u
Na city ndio mpinzani wa keki wanayo itaka
Game ya leo magoli ni mapema sanaLeo united tunafungwa,tena nyingi tu