Hii mechi mpaka muda huu iko 3-2. Man United anashinda.
Amna kitu .Hii mechi mpaka muda huu iko 3-2. Man United anashinda.
Nashindwa hata kusema aah NO khaa sipendi furaha ya liver
Ushahamia utdSisi Man United leo hatuna habari na mtu, hatufungwi nyumbani.
Ushahamia utd
Whish sane acheze leo
Umetumia ramli gani mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulia hapo hapo uje uone ramli yako ilivyo chonganishi.Hii mechi mpaka muda huu iko 3-2. Man United anashinda.
Si unajua tunataka goli za mapema game kama iziMapema sana niko United.