The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Kama nawaona kuku kesho wakikubali kuchinjwa kwa ihari yaani hii game sisi kushinda tayari ishavuruga kichwa cha Juergen Kopo.
 
Si ulicheki walivyokaza kwa Arsenal jana, timu haina cha kupoteza
Jamaa wanajua sana kupaki basi.
Na ubaya sasa kiungk mchezeshaji mzuri ni majeruhi.
Hope msimu ujao mahrez ataanza maajabu yake ya leicester.
Jamaa namkubali anastail fulan kama rooben
 
Ila sasa nadhani mmejua kwa nn sane anakaa bench .
Inasikitisha pia
Sane hana maelewano mazuri na Pep Guardiola, hii inaathiri mpaka kiwango chake...
Pia inadaiwa hivi karibuni dogo ameanza tabia ya kumkosoa waziwazi Pep Guardiola wanapokua mazoezini...
Nafikiri huu ni msimu wake wa mwisho ndani ya Man City..!
 
Yan game ya leo utasema tulikuwa tunacheza na liverpool maana tungekesha wote apa.
Kesho wanakibarua kizito.
Cha kukataa mo asiitwe mohamed
 
Sane hana maelewano mazuri na Pep Guardiola, hii inaathiri mpaka kiwango chake...
Pia inadaiwa hivi karibuni dogo ameanza tabia ya kumkosoa waziwazi Pep Guardiola wanapokua mazoezini...
Nafikiri huu ni msimu wake wa mwisho ndani ya Man City..!
Duu so he may leave?
 
Sane hana maelewano mazuri na Pep Guardiola, hii inaathiri mpaka kiwango chake...
Pia inadaiwa hivi karibuni dogo ameanza tabia ya kumkosoa waziwazi Pep Guardiola wanapokua mazoezini...
Nafikiri huu ni msimu wake wa mwisho ndani ya Man City..!
Kipaji kinapotea kile
Dogo mtam sana kwenye assists za V
 
Sane hana maelewano mazuri na Pep Guardiola, hii inaathiri mpaka kiwango chake...
Pia inadaiwa hivi karibuni dogo ameanza tabia ya kumkosoa waziwazi Pep Guardiola wanapokua mazoezini...
Nafikiri huu ni msimu wake wa mwisho ndani ya Man City..!


Hongereni sana mkuu, I'm so happy kwa ushindi mnono...tumebakiza game moja tu, tukiwin tunachukuwa ubingwa...

Kesho sec leg, tunaenda kumalizia SHINGO LA JOGOO
...
 
Duu so he may leave?
Yeah Broh...
Sasa kama hana maelewano mazuri na kocha unafikiri kuna nini tena hapo ndugu yangu..?
Ila Guardiola inaonekana hataki kumpoteza dogo, ni vile tu Sane ni kiburi..!
Unaambiwa dogo ni jeuri kinoma, inasemekana ujeuri wake ndio uliosababisha kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani amtose kwenye kombe la dunia..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…