SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Laana ya kuchukua kombe la sita la MABINGWA ULAYA. Klabu yako ina mangapi? [emoji23] [emoji23]Ngonja spurs akusulubishe pale madrid, mwaka huu hamtachukua kombe lolote walahi
Hata hilo sahani nadhani guardiola hawezi kuwaachia,
Liverpool mnalaana sio bure aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wana ubavu wa kushinda UCL hawa. Na mausajili yote hayo wanatolewa na tott [emoji23] [emoji23]Kaeni na Carabao na FA na EPL zenu lakini UCL mtaiota tu
Kumbuka msimu ujao kuna VAR
View attachment 1114743
Sema TenaaaaNgonja spurs akusulubishe pale madrid, mwaka huu hamtachukua kombe lolote walahi
Hata hilo sahani nadhani guardiola hawezi kuwaachia,
Liverpool mnalaana sio bure aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muda ukifika..!Nyie Ubingwa wa Ulaya mtachukua lini?
Muda ukifika..!
Na nyie EPL mtachukua tena lini..?
Samahani Kiongozi..!Hujajibu swali
Halafu Liverpool ameshakuwa bingwa wa Uingereza Mara 18 ambapo huko nyuma ya Man U tu
Samahani Kiongozi..!
Hivi unajua kusoma vizuri kweli..!?
Mimi nahisi haujui kusoma vizuri chief..!jibu Swali Je utakuwa bingwa wa Ulaya lini? Niambie kwa miaka mingapi mtaweza kuchukua
Mimi nahisi haujui kusoma vizuri chief..!
Nimekujibu kuwa tutachukua UEFA "MUDA UKIFIKA"
Pia nimekuuliza na nyie mtachukua TENA kombe la EPL lini..!?
Sijakuambia hamjawahi kuchukua kombe la ligi kuu ya Uingereza,najua mlishachukua zaidi ya mara 10...
Ndio Maana nimekuuliza mtachukua TENA lini..?
Wew jamaa naona unateseka sanaaUCL champion ni bingwa wa mabingwa wa ligi zote za Europe including La Liga and EPL.
Hizo Carabao, FA na EPL chukueni na mfurahi tu.
By the way kuanzia msimu ujao kuna VAR na nyie hamshindi mashindano yoyote yenye VAR.
Hata Pep kwa sasa anaiota tu hii ndoo
Sawa..!UCL champion ni bingwa wa mabingwa wa ligi zote za Europe including La Liga and EPL.
Hizo Carabao, FA na EPL chukueni na mfurahi tu.
By the way kuanzia msimu ujao kuna VAR na nyie hamshindi mashindano yoyote yenye VAR.
Hata Pep kwa sasa anaiota tu hii ndoo
Baadhi washabiki wa team inayochukua ubingwa mara Moja kwa miaka kumi matatizo yenu makubwa nani kakwambia UCL wanaoshiriki ni mabingwa? Liverpool alikuwa bingwa wa nchi gani akashiriki UCL? Lyon? Man Utd?UCL champion ni bingwa wa mabingwa wa ligi zote za Europe including La Liga and EPL.
Hizo Carabao, FA na EPL chukueni na mfurahi tu.
By the way kuanzia msimu ujao kuna VAR na nyie hamshindi mashindano yoyote yenye VAR.
Hata Pep kwa sasa anaiota tu hii ndoo
Baadhi washabiki wa team inayochukua ubingwa mara Moja kwa miaka kumi matatizo yenu makubwa nani kakwambia UCL wanaoshiriki ni mabingwa? Liverpool alikuwa bingwa wa nchi gani akashiriki UCL? Lyon? Man Utd?
Sawa..!
Asante kwa mchango wako pia..!
Na mimi nikuambie tu as long as Pep ni kocha wa Man City hiyo EPL mtaendelea kuiona kwenye mitandao ya kijamii..!
Huyo Pep unayemzungumzia kashaibeba mara mbili hiyo ndoo unayoizungumzia,sawa na Fergie aliyefundisha zaidi ya miaka 20..!
Eti mabingwa wa Ligi zote,bingwa wa La Liga ni Barcelona chief,najua upo vizuri tu kichwani acha kujitoa ufahamu..!
Wew jamaa naona unateseka sanaa
Liverpool nawaonea hurumaa sanaa, mlikuwa jangwani mmechoka vibaya na ukame wa makombe mmepata hako ka uefa naona mnaanza kutupanda kichwan mpaka sisi kaka zako
Wew jamaa naona unateseka sanaa
Liverpool nawaonea hurumaa sanaa, mlikuwa jangwani mmechoka vibaya na ukame wa makombe mmepata hako ka uefa naona mnaanza kutupanda kichwan mpaka sisi kaka zako
Baadhi washabiki wa team inayochukua ubingwa mara Moja kwa miaka kumi matatizo yenu makubwa nani kakwambia UCL wanaoshiriki ni mabingwa? Liverpool alikuwa bingwa wa nchi gani akashiriki UCL? Lyon? Man Utd?