Rodrigo ni balaaaJamaa walipaki basi.
Angelino bado kwa kweli.
RODRI mzuri sana kuusoma mchezo,header zote ni pasi,physique.
Danilo anaweza kuwa 3rd choice CD.
Bravo briliant.
Sterling,silva,gundogan,nmecha wote wamechoma penalties.
Adrian bernabe mtam sana na mwenzake.
Ila huyu nmecha hana nafasi kwa pale city .
Rodri kweli ni Busquet type.
93℅ passing acc...
Huyu jamaa game ya kwanza alikuwa ajakaa vzr ila ilipoingia first 11 akawaka.Rodrigo ni balaaa
Rodrigo Hernandez I guess ndyo atakuwa first choice pale katiHuyu jamaa game ya kwanza alikuwa ajakaa vzr ila ilipoingia first 11 akawaka.
Leo ndo kabisa.
Kwa sasa sina hofu fernandinho akiwamajeruhi haimaanishi ni kupoteza point.
Last season for fernandinho the legend.
Kwa 35 hawezi kucheza hata nusu msimu akiwa fit.
Matuta bahati nasibuJamaa walipaki basi.
Angelino bado kwa kweli.
RODRI mzuri sana kuusoma mchezo,header zote ni pasi,physique.
Danilo anaweza kuwa 3rd choice CD.
Bravo briliant.
Sterling,silva,gundogan,nmecha wote wamechoma penalties.
Adrian bernabe mtam sana na mwenzake.
Ila huyu nmecha hana nafasi kwa pale city .
Rodri kweli ni Busquet type.
93℅ passing acc...
kweli angefanya kama kwa swansea.Tatizo strikers zakuaminika kati haziko.Matuta bahati nasibu
Huwa inatakiwa kuua gemu ndani ya dakika 90
Kwa mfano hapo Pep alitakiwa baada ya kuona hawa wanapaki basi alitakiwa aweke striker wanne au zaidi maana hiyo ndio dawa kwa wapaki basi
Yaani 4-3-3 ambayo kunakuwa na kiungo ambae anaoverlap sana kule mbele
Sterling na mdogo wake Sane wamecheza chini ya kiwango sana,labda walikuwa wanaichukulia hii mechi kama sehemu ya mazoezi...Jamaa walipaki basi.
Angelino bado kwa kweli.
RODRI mzuri sana kuusoma mchezo,header zote ni pasi,physique.
Danilo anaweza kuwa 3rd choice CD.
Bravo briliant.
Sterling,silva,gundogan,nmecha wote wamechoma penalties.
Adrian bernabe mtam sana na mwenzake.
Ila huyu nmecha hana nafasi kwa pale city .
Rodri kweli ni Busquet type.
93℅ passing acc...
Ahahaaaah...Dear mr FLOPP.
We got seven player off the squad,even during the first epl games.
Ederson
Gabriel
Aguero
Fernandinho
Foden
Otamendi
Mahrez
And you got only 4 players who will late.
Then what makes you fear?
Until you come to the media talking about city.
Pep hakuwa serious na hii mechi mkuu...kweli angefanya kama kwa swansea.Tatizo strikers zakuaminika kati haziko.
Sane nae anajishusha kiwango inaonyesha wazi,either kuwakatisha tamaa bayern ama kumkatisha tamaa pep.
Ila nilichokiona alipobadilisha wachezaji wa5 ilimaaniaha wazi kuwa bado ni mechi ya kirafiki.
But them penalties!!!
Mnajitekenya naona na kucheka wenyewe.Ahahaaaah...
Kumbe na wewe umeona woga wa huyo Mzee aisee..!?
Kwani tunavunja katiba yoyote..?Mnajitekenya naona na kucheka wenyewe.
Yeah itakuwa amenyimwa pesa labda .Ahahaaaah...
Kumbe na wewe umeona woga wa huyo Mzee aisee..!?
Ni kweli bernado ni mtu hata mm ningemchagua bernado.Bernado Silva Forward ambae huwa hafungi magoli mengi ila muhimu sana kuliko wale wanaofunga mengi
Hapo namaanisha sijatumia fasihi. Ukiniambia nichague kati ya Sane na Bernado mi namchagua Bernado
Hawakuwa seriousWazee wolves wanatukaziaga sana nyau hawa
TunaMechi ngumu kwenu msimu unaoanza ni mechi ya kwanza versus Man Utd
Hao jamaa kiukweli ni tishio sana kwa aina ya watu walio nao na sio sababu wanacheza sana