Bahati mbaya kwangu waweza kuta na hapa Bongo unaipenda Yanga...Hii match inaisha draw ama city anashinda
Mungu ibariki city!!
Bahati mbaya kwangu waweza kuta na hapa Bongo unaipenda Yanga...
Mimi baada ya mama, baba na mabinti zangu...
1. Simba
2. Liverpool
3. Barcelona
4. Bunju Veterans
5. Michepuko
6. Bibi yenu
7. K Vant
8. Kitimoto
9. Kitanda
Karibu Liverpool my dear mjukuu... where you will never walk aloneDear babu,kunikadiria mimi kuwa yanga ni tusi kubwa sana kwangu....namna nisivyoipenda yanga haizidiani sana na namna nisivyoipenda liver
Hapo kwenye list yako nitoe kwa Liver,michepuko,K vant na kitimoto.
Sijui nimekwama wapi manake hata my babe Don Clericuzio nae liver.....so unlucky!!!!
Dear babu,kunikadiria mimi kuwa yanga ni tusi kubwa sana kwangu....namna nisivyoipenda yanga haizidiani sana na namna nisivyoipenda liver
Hapo kwenye list yako nitoe kwa Liver,michepuko,K vant na kitimoto.
Sijui nimekwama wapi manake hata my babe Don Clericuzio nae liver.....so unlucky!!!!
Wanaumwa mafuaWazee wa kikosi Kipana mnajisikiaje na hali
Kwa team yangu hii,wewe utakuwa unanizomea kila sikuKati ya vitu ninavyovipenda ni kuwa na Mwanamke ambaye hatushabikii timu moja.
Ili tukifungana tuzomeane.
Kwa team yangu hii,wewe utakuwa unanizomea kila siku
Mtarudi tu, kwani si mlikuwa juu?
Mataputapu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe umeshaona timu yako ni Mataputapu uwezo wa kuikimbiza Liverpool hamna tena,kilichobaki ni kujikombakomba kwa timu za watu wengine tu ilizmchallenge Liverpool.
Mourihno Si alisema Man city B inaeza kubeba ubingwa!!??Wazee wa kikosi Kipana mnajisikiaje na hali
Asante mzee ila ni swala la muda tu hakuna mwaka mgumuPole ndugu, mwaka mgumu huu.
Asante mzee ila ni swala la muda tu hakuna mwaka mgumu
%Sure nduguMpaka ifike January mzibe pengo la Laporte, mtakuwa mmeteseka sana.
Sahihi kabisa asilimia miaMourihno Si alisema Man city B inaeza kubeba ubingwa!!??
Fullbacks selection ya Pep sikubaliani nayo
Zinchenko ni mchezaji mzuri ila sio katika nafasi ya Left-back , Zinchenko uwezo mdogo sana katika ku'contribute' significantly kwenye mashambulizi. Crosses ni hawezi kama sio hajui
Kyle Walker angewekwa Center back tu maana ana umakini lakini nae sio mzuri ku'contribute' kwenye mashambulizi kama huyo dogo Zinchenko . Walker=Zinchenko tofauti ni Walker ana mbio na his defending ni nzuri
Gundogan aliishiwa mawazo afanye nini game ya jana, David Silva umri naona tayari umeshaanza kumtupa mkono